Kwa umri wa hawa watoto wanaweza kuandika achilia mbali kuzungumza? Huo mwandiko ni wa mtoto mdogo? kama siyo ni mtu mzima kawaandikia inamanisha anaweka maneno midomoni mwao kitu ambacho sio sahihi. hata kama kuna ujumbe wanataka kufikisha sio kwa kupitia watoto wadogo kwa vile hata kwenye vitabu vitakatifu waanachukuliwa kama malaika.....