Sema LOLOTE kuhusu hii picha

zee lenye mawani alitamani kukaa karibu na JK anatamani apayuke JK amsikie
nadhani bado anamwomba JK awe compain manager wake atakapogombea urais.
 
aliesimama ni nyoka, kulia mwa jk ni nyoka, nyuma ya jk ni nyoka, na hao waliojifanya wamevaa maovaroli sijui hapo nyuma kulia ni manyoka.
 
Kupiga 4 ni starehe............msiba una starehe?

mbona kwenye misiba mnakunywa mabia, pome za kienyeji n.k je? hizi sio starehe, mbona kwenye misiba sikuizi marehemu anasafirishwa na gari la kifahari na gharama za juu mpaka makaburini je hii sio starehe? kuna hadi mziki unafungwa skuizi, kuna kuwapamba wafiwa skuizije hizi sio starehe? vipigwe marufuku
 
jamaa kapiga koti wakat kuna joto balaa wenzake wanatamani wafungue vifungo eti
 
hiyo miwani kama ya shibuda, na mguu wa jk wa kulia una matatizo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…