Self defence basics Part ii: Kujihami na kabali, roba zote

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Sep 2, 2011
4,873
1,216
vlcsnap-2016-04-26-11h29m18s162.png
vlcsnap-2016-04-26-11h31m16s590.png
vlcsnap-2016-04-26-11h32m21s277.png
vlcsnap-2016-04-26-11h32m34s945.png
vlcsnap-2016-04-26-11h38m53s095.png
vlcsnap-2016-04-26-11h39m41s213.png
vlcsnap-2016-04-26-11h43m10s065.png
vlcsnap-2016-04-26-11h39m41s213.png
vlcsnap-2016-04-26-11h43m10s065.png
vlcsnap-2016-04-26-11h43m38s552.png
vlcsnap-2016-04-26-12h06m46s476.png
vlcsnap-2016-04-26-12h07m19s827.png
vlcsnap-2016-04-26-12h07m42s081.png
vlcsnap-2016-04-26-12h07m55s833.png
vlcsnap-2016-04-26-12h08m04s115.png
vlcsnap-2016-04-26-12h07m42s081.png
vlcsnap-2016-04-26-12h07m55s833.png
vlcsnap-2016-04-26-12h41m06s105.png
vlcsnap-2016-04-26-12h41m38s618.png
vlcsnap-2016-04-26-12h42m02s987.png
vlcsnap-2016-04-26-12h43m24s792.png
vlcsnap-2016-04-26-12h43m24s792.png
vlcsnap-2016-04-26-12h42m02s987.png
vlcsnap-2016-04-26-12h42m02s987.png
vlcsnap-2016-04-26-12h41m38s618.png
vlcsnap-2016-04-26-12h41m06s105.png
vlcsnap-2016-04-26-12h41m06s105.png
Leo naomba nije na kujihami kwa kabali au roba,kama tunavyo ziita kimtaa zaidi

Hizi kabali tunaweza kuweka kwenye magrupu manne

1.Kabali ya mbele
2.Kabali ya nyuma
3.Kabali ya kushoto kabali ya kulia

Achilia mbali kabali za chini, ambazo anaeweza piga kabali hiyo ni lazima atakua na elimu hiyo, hizi kabali za chini huwa zipo kwenye michezo na michezo ya martial arts.

Dhumuni langu kubwa ni kabali ambazo hutumika sana hasa kwenye kupora vitu, iwe usiku au mchana na kabali hiyoo unaweza pigwa na mtu mmoja huku akikusachi au akakupiga mmoja wengine wakakusachi ila wakisha hakikisha umetulia baada ya kupigwa kabali hiyo


1.Kabali ya mbele

Kabali hii mtu ukabwa kwa mbele na adui au mtu anaejiamini kuwa akikukaba hutakua na uwezo wa kumfanya chochote.

Kabali hii mara nyingi hukabwa wanyongwe,ni mara chache sana kutumika kwenye uporaji.

STEPU YA KWANZA UMEPIGWA KABALI YA MBELE

vlcsnap-2016-04-26-12h08m22s319.png

vlcsnap-2016-04-26-12h08m22s319.png
vlcsnap-2016-04-26-12h08m22s319.png


STEPU YA PILI UNAPANGUA KABALI YA MBELE

vlcsnap-2016-04-26-11h29m18s162.png vlcsnap-2016-04-26-12h08m04s115.png vlcsnap-2016-04-26-12h07m55s833.png vlcsnap-2016-04-26-12h07m42s081.png

vlcsnap-2016-04-26-12h07m55s833.png
vlcsnap-2016-04-26-12h07m42s081.png


Kama picha zinavyoonekana, unapopangua kabali ya adui wako kuna mambo mawili, unaweza kushika mikono yake nakuitoa shingoni kwako na usiweze kuitoa kama itatokea amekuzidi nguvu.

Hatua ya kwanza utapangua mikono yake na kubonyea kidogo, anapokubali kubonyea na kukufata basi utaamua wewe kupiga kifuti cha kwenye tumbo au utaamua kushambulia ikulu yake.

Ukumbuke unajihadhari na hatari ya kabali, ambayo kama utairuhusu unaweza kuuwawa kabisa, ni lazima matukio hayo uyaamue kwa haraka zaidi.

Kama picha dada huyo inavyoonekana, amepangua kabali na kutoa pigo kali kwenye makende.

Kama watakua wawili, endapo mmoja atapata shambulio na mwenzake akiona, huyo mwingine atakimbia hawezi kuja .

2. Kabali ya nyuma

Kabali ya nyuma ni kabali zinazo waliza wengi sana, ni kabali inayofanywa kwa timing kubwa mno. Inapotekea umekabwa iwe kwa mikono kama inavyoonekana.

vlcsnap-2016-04-26-11h32m21s277.png
vlcsnap-2016-04-26-11h38m53s095.png


Stepu ya kwanza ni kupangua kabali na kushambulia.

vlcsnap-2016-04-26-11h38m53s095.png
vlcsnap-2016-04-26-12h40m53s555.png
vlcsnap-2016-04-26-12h41m06s105.png
vlcsnap-2016-04-26-12h41m38s618.png
vlcsnap-2016-04-26-12h43m24s792.png


Kama picha zinavyoonyesha, unapo peleka mikono yako nyuma kutoa kabali hiyo una step mguu wa kulia kupata balance, pili unapangua mkono wake mmoja, huku uki utwist then moja kwa moja unapeleka mkono wako unakamata groin zile unazifuta, lazima atabonyea basi utamshambulia kwa kipepsi usoni, shingoni kadri utakavyoweza.

Yaani kitendo hiki hufanyika kwa haraka zaidi anapokuvisha mikono yake nawe muda huo huo unavua mikono hiyo, ikitokea umeshindwa kuitoa na umeshindwa kukamata groini zake, step forward, inama kidogo then piga teke la nyuma kwa nguvu kwenye goti lake hapo lazima atapoteza stability basi utamshambulia haraka.

Kwa leo naishia hapa.

Ni yule yule Zubedayo_mchuzi mzee wa kutembea umbali mrefu.
 
Wakazi wa Keko tunazijua kabali aina zote, nenda magurumbashi mida ya jioni utafurahi....:p:p:p
 
Siku ya mwaka mpya, 2010 sitaisahau kwa ROBA niliyopigwa katika maisha yangu. Ilikuwa Arusha maeneo ya Sakina nikiwa mitungi narudi zangu hm mida flan ya sa3 usiku, nilipepesuka nikaanguka, bby akiwa anasaidia niinuke, kuna jamaa walikua ndani ya noah wakanitukana na kusema tunajifanyisha sisi ni MAJAMBAZI, kiukweli kwa akili ya pombe nilipanik nikawatukana sana, ila kwa vile wako ndani ya gari wakawa wamepita.
Bahati nzuri napokaa ni opposite na hoteli, kumbe wale jamaa wanapaki gari yao mule ndani, nikaona kuwaletea kwere mule ndani itakua shida kwangu coz kuna mlinzi ana gobore, jamaa wakatoka wa3 pale hotelini wanaelekea upande wa home, kuna kademu(jirani yangu) wanakafwata basi nikamkumbuka jamaa alivaa kitisheti cha njano, ye ndo alinitukana, kwa akili ya tungi tena nikamfata, nikamueleza mbona anatuambia sisi ni wezi, haujui ingeweza kuwa shida endapo watu watachkulia sirias, bas kwa vile wako wa3 wakanikoromea, kma kawaida yangu nikaanza na yule mwenye mwili mkubwa, nikampa za kushtukiza nikafuata na wengine( hiyo ndo theory yangu, nakuanza fasta ili nimalize pambano mapema na kuwatia hofu kwamba niko vzuri kumbe boya tu)
Kiukweli katika mapambano yangu(kama ma4 iv maishani) nikiwa napambana huwa sielewi kinachoendelea(huwa kama naona giza, sijui ni kwanini) lakini nikizinduka huwa nimefanya uharibifu wa hatari, sasa siku hiyo nilipambana nao, ikatokea wakati nimezinduka nimepigwa bonge la KABALI(picha iko hivi, nimepiga magoti, jamaa yuko kwa nyuma, kanipiga roba, nashindwa hata kuhema, nakoroma tu huku ninaishiwa nguvu) nikapata akili ya fasta fasta kuitoa ile ROBA( coz nlianza kuona "blur"), nilimuingizia vidole jamaa nikabinya macho karibia kuyatoboa, akapiga yowe akaniachia, kilichofuatia tena sikuelewa hadi nilipozinduka watu kibao na mzee mmoja aliponipiga na mbao kwenye magoti, huku mimi niko chini jamaa yuko juu yangu(yule mwenye mwili mkubwa) nimempiga bonge la ROBA(wanaitaga combat, yan nimembinya shingo, af miguu imemtait kiunoni), nikamuachia jamaa, hawezi kuhema, watu wakamsaidia, nlivoona watu wengi nkapiga biti mtu asinisogelee, na kweli hakuna aliesogea maana nlikua kama simba aliejeruhiwa, nlipoenda ndani nkaanza kuskia maumivu huku nimelowa damu mgongoni, bby ananiambia nimeumia, inikavua shati, mgongoni nina bonge la kovu kumbe jamaa alining'ata, akatoka na bonge la steki ya nyama, ila kwakua nlikua na ganzi la tungi, haikunisumbua.

Shukrana kwa bby wangu(ex) alinipa kolabo, coz wakat mapambano yanaendela, yule demu wa washkaj alianza kuzingua, beibe nae akamfix adi akakimbia.hahaha

Kilichofuatia kesho yake sa1 pila lipo mlangoni, mshkaj flan jiran akawazuga polisi huku akinitonya kwa simu, fasta nikachomoka, story nlokuja kuipata kwa jirani, jamaa walikuja huku kati yao mmoja amewekewa lile dude la shingoni kama p.o.p, na wengine kila mmoja na majeraha yake.
Siisahau siku hii kwakuwa sielewi ule uwezo na ujasiri nliupatia wapi.
KABALI NI NOMA, usiombe ukakutana na mtaalam wa kupiga KABALI.
 
Siku ya mwaka mpya, 2010 sitaisahau kwa ROBA niliyopigwa katika maisha yangu. Ilikuwa Arusha maeneo ya Sakina nikiwa mitungi narudi zangu hm mida flan ya sa3 usiku, nilipepesuka nikaanguka, bby akiwa anasaidia niinuke, kuna jamaa walikua ndani ya noah wakanitukana na kusema tunajifanyisha sisi ni MAJAMBAZI, kiukweli kwa akili ya pombe nilipanik nikawatukana sana, ila kwa vile wako ndani ya gari wakawa wamepita.
Bahati nzuri napokaa ni opposite na hoteli, kumbe wale jamaa wanapaki gari yao mule ndani, nikaona kuwaletea kwere mule ndani itakua shida kwangu coz kuna mlinzi ana gobore, jamaa wakatoka wa3 pale hotelini wanaelekea upande wa home, kuna kademu(jirani yangu) wanakafwata basi nikamkumbuka jamaa alivaa kitisheti cha njano, ye ndo alinitukana, kwa akili ya tungi tena nikamfata, nikamueleza mbona anatuambia sisi ni wezi, haujui ingeweza kuwa shida endapo watu watachkulia sirias, bas kwa vile wako wa3 wakanikoromea, kma kawaida yangu nikaanza na yule mwenye mwili mkubwa, nikampa za kushtukiza nikafuata na wengine( hiyo ndo theory yangu, nakuanza fasta ili nimalize pambano mapema na kuwatia hofu kwamba niko vzuri kumbe boya tu)
Kiukweli katika mapambano yangu(kama ma4 iv maishani) nikiwa napambana huwa sielewi kinachoendelea(huwa kama naona giza, sijui ni kwanini) lakini nikizinduka huwa nimefanya uharibifu wa hatari, sasa siku hiyo nilipambana nao, ikatokea wakati nimezinduka nimepigwa bonge la KABALI(picha iko hivi, nimepiga magoti, jamaa yuko kwa nyuma, kanipiga roba, nashindwa hata kuhema, nakoroma tu huku ninaishiwa nguvu) nikapata akili ya fasta fasta kuitoa ile ROBA( coz nlianza kuona "blur"), nilimuingizia vidole jamaa nikabinya macho karibia kuyatoboa, akapiga yowe akaniachia, kilichofuatia tena sikuelewa hadi nilipozinduka watu kibao na mzee mmoja aliponipiga na mbao kwenye magoti, huku mimi niko chini jamaa yuko juu yangu(yule mwenye mwili mkubwa) nimempiga bonge la ROBA(wanaitaga combat, yan nimembinya shingo, af miguu imemtait kiunoni), nikamuachia jamaa, hawezi kuhema, watu wakamsaidia, nlivoona watu wengi nkapiga biti mtu asinisogelee, na kweli hakuna aliesogea maana nlikua kama simba aliejeruhiwa, nlipoenda ndani nkaanza kuskia maumivu huku nimelowa damu mgongoni, bby ananiambia nimeumia, inikavua shati, mgongoni nina bonge la kovu kumbe jamaa alining'ata, akatoka na bonge la steki ya nyama, ila kwakua nlikua na ganzi la tungi, haikunisumbua.

Shukrana kwa bby wangu(ex) alinipa kolabo, coz wakat mapambano yanaendela, yule demu wa washkaj alianza kuzingua, beibe nae akamfix adi akakimbia.hahaha

Kilichofuatia kesho yake sa1 pila lipo mlangoni, mshkaj flan jiran akawazuga polisi huku akinitonya kwa simu, fasta nikachomoka, story nlokuja kuipata kwa jirani, jamaa walikuja huku kati yao mmoja amewekewa lile dude la shingoni kama p.o.p, na wengine kila mmoja na majeraha yake.
Siisahau siku hii kwakuwa sielewi ule uwezo na ujasiri nliupatia wapi.
KABALI NI NOMA, usiombe ukakutana na mtaalam wa kupiga KABALI.
Noma sana
 
Back
Top Bottom