Self contained rooms for students at UoI [Tumaini Iringa]

Ibrah

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2007
Posts
2,730
Reaction score
536
Wadau, kwa wale wenye ndugu zao watakaojiunga na Chuo Kikuu cha Iringa [zamani Tumaini University Iringa], kuna vyumba vichache vinapatikana umbali wa mita mia tatu [300 meters] kutoka Chuoni.

Vyumba hivyo ni self contained, Umeme wa Luku, maji na tanki la kuhifadhi maji, Uzio na geti, pamoja na mlinzi.

Kwa mawasiliano zaidi, piga 0787377511/0719055711/0768264320.
 
Ungeweka bei moja kwa moja ingekuwa vizuri sana.Mtu kabla hajakupigia akajipima kwanza uwezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…