Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,508
- 13,974
Wadau,
Kuna chumba na choo chake(self contained) na sebule yake pia kuna jiko dogo pamoja na parking ya gari moja.BEI ni 150,000/= kwa mwezi,anataka miezi SITA plus mwezi mmoja wa dalali.
Chumba na choo chake (self contained) na kina jiko lake dogo.Pia kuna parking.Bei ni 100,000/= kwa mwezi,anataka miezi SITA plus mwezi mmoja wa dalali.
VYUMBA VYOTE HIVYO VIPO SILLENT IN, SAKINA ARUSHA.Takribani mita 200 toka barabara kuu ya Namanga/Nairobi.
Mawasiliano: 0787140432 au PM.
Kuna chumba na choo chake(self contained) na sebule yake pia kuna jiko dogo pamoja na parking ya gari moja.BEI ni 150,000/= kwa mwezi,anataka miezi SITA plus mwezi mmoja wa dalali.
Chumba na choo chake (self contained) na kina jiko lake dogo.Pia kuna parking.Bei ni 100,000/= kwa mwezi,anataka miezi SITA plus mwezi mmoja wa dalali.
VYUMBA VYOTE HIVYO VIPO SILLENT IN, SAKINA ARUSHA.Takribani mita 200 toka barabara kuu ya Namanga/Nairobi.
Mawasiliano: 0787140432 au PM.