David kulwa
Member
- Sep 18, 2016
- 29
- 2
Wana JF naomba kuuliza et majina ya second selection yana chukua mda gan had kutolewa
We hata 1st bdo unaulizia 2nd!! wait yatatoka kwa ujumlaWana JF naomba kuuliza et majina ya second selection yana chukua mda gan had kutolewa
Kwakeli Na inakera mnoooo...wananiboa Na hii system..aiseeInashangaza sana kuona coordination kati ya TCU na vyuo inapokuwa ndogo namna hii.. TCU imeongeza muda was third round kwa siku tatu na deadline kuwa tarehe 18 wakati huo huo hakuna chuo ambacho kishatoa selection za second round ili waliokosa second rough wajaribu bahati zao. This is so sad
af naskia zmeshatoka...mi nsipojikuta cjui nihame nnchi make sio kwa upuuzi huuMi nasubir round ya tatu cjui n lin hapa nmechanganykiwa maana mda ndo huo umeisha
Angalia tu wenzio tayar hapa, ila ucangalie profile unaweza kuhama kwelaf naskia zmeshatoka...mi nsipojikuta cjui nihame nnchi make sio kwa upuuzi huu
Angalia tu wenzio tayar hapa, ila ucangalie profile unaweza kuhama kwel
We umepata mi hata suA hawajatoa majina bado apo ndo sielewi kqbisaa nahis kufaAngalia tu wenzio tayar hapa, ila ucangalie profile unaweza kuhama kwel