Selection UDSM 2014/2015

Ushauri ww bure kwa wale ambao wana shindwa kufungua pdf files zote kuepusha hilo nend play store kwenye cm ako den free apps afu andika WPS office den idownload hiyo app baada ya hapo utakuwa huru kufungua document yoyote utakayo download utajiepusha na kuomba mtu fulani akusaidie kufungua file fulani
 
Nimemaliza hapa mwaka huu hicho chuo sitakisahau manake bro shule ya hapo iko taiti na msosi makanyagio wa 1000 unashiba na maji matamu unaoga mda wote nimeinjoy sana

ha ha ha ha ha ha mkuu unazingua
 

u genius
 
Duuh TCU imenfanya mbaya ckutegemea mara yakwanza nilichaguliwa UD MAIN CAMPUS leo nakuta jna langu MKWAWA UNVERSITY DUUH
Basi waendaj mkwawa tutafutane bac kwa no 0753203063 hata whatsap natumia hiyohiyo

ha ha ha ha ha ha......pole aisee....kwisha jeuri yako...
 
Ebwana mkuu hawa ardhi wenyewe vp wametema au laaaa!!!!!!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
S0960/0256/2011 msaada wenu naomba wakuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…