Selcom imerudi tena kwa kishindo, MaxMalipo tupa kule

Dodoma leo zimegoma, naenda kulala gizani na elfu 20 yangu imeliwa. It's too painful jamani
 
maxmalipo nahisi wenye keki ya taifa wanaka-ganji kuona,mpaka ile radio binafsi ya propaganda ya maCCM chini ya bosi anaefanana jina na bosi ESCROW wanawahadaa watz na sifa nyingi ambazo hawana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…