Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma mna kauli gani kuhusu tuhuma za Utajiri wa Mwigulu Nchemba?

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma mna kauli gani kuhusu tuhuma za Utajiri wa Mwigulu Nchemba?

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
640
Reaction score
1,517
MOJA ya Jukumu kubwa la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni kuchunguza Malalamiko au tuhuma zinazotolewa na wananchi dhidi ya kiongozi fulani wa umma, Mwigulu Nchemba amekuwa akituhumiwa na wananchi kuwa na ukwasi uliopitiliza huku wapi alikozitoa mali hizo ikibaki kuwa utata.

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma mna kauli gani kuhusu tuhuma za Mwigulu kumiliki mali nyingi bila kujulikana chanzo chake ni nini.

Nimemsikia Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akiimba Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kuanzisha uchunguzi dhidi ukwasi alionao WAZIRI wa Fedha Mwigulu.
 
MOJA ya Jukumu kubwa la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni kuchunguza Malalamiko au tuhuma zinazotolewa na wananchi dhidi ya kiongozi fulani wa umma, Mwigulu Nchemba amekuwa akituhumiwa na wananchi kuwa na ukwasi uliopitiliza huku wapi alikozitoa mali hizo ikibaki kuwa utata.

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma mna kauli gani kuhusu tuhuma za Mwigulu kumiliki mali nyingi bila kujulikana chanzo chake ni nini.

Nimemsikia Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akiimba Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kuanzisha uchunguzi dhidi ukwasi alionao WAZIRI wa Fedha Mwigulu.
Mwigulu kapata wapi mihela yote hiyo?
 
Nasikia Mwigulu na Bashe wamepeleka wagombea Kisesa na wamewapa hao wagombea Bilioni 2 ili wakamtoe Mpina kwenye ubunge
 
MOJA ya Jukumu kubwa la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni kuchunguza Malalamiko au tuhuma zinazotolewa na wananchi dhidi ya kiongozi fulani wa umma, Mwigulu Nchemba amekuwa akituhumiwa na wananchi kuwa na ukwasi uliopitiliza huku wapi alikozitoa mali hizo ikibaki kuwa utata.

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma mna kauli gani kuhusu tuhuma za Mwigulu kumiliki mali nyingi bila kujulikana chanzo chake ni nini.

Nimemsikia Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akiimba Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kuanzisha uchunguzi dhidi ukwasi alionao WAZIRI wa Fedha Mwigulu.
Hiyo kauli haikuwahi kuwepo,haipo na haitakuwepo!
 
MOJA ya Jukumu kubwa la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni kuchunguza Malalamiko au tuhuma zinazotolewa na wananchi dhidi ya kiongozi fulani wa umma, Mwigulu Nchemba amekuwa akituhumiwa na wananchi kuwa na ukwasi uliopitiliza huku wapi alikozitoa mali hizo ikibaki kuwa utata.

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma mna kauli gani kuhusu tuhuma za Mwigulu kumiliki mali nyingi bila kujulikana chanzo chake ni nini.

Nimemsikia Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akiimba Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kuanzisha uchunguzi dhidi ukwasi alionao WAZIRI wa Fedha Mwigulu.
Ccm ni mchwa
 
MOJA ya Jukumu kubwa la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni kuchunguza Malalamiko au tuhuma zinazotolewa na wananchi dhidi ya kiongozi fulani wa umma, Mwigulu Nchemba amekuwa akituhumiwa na wananchi kuwa na ukwasi uliopitiliza huku wapi alikozitoa mali hizo ikibaki kuwa utata.

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma mna kauli gani kuhusu tuhuma za Mwigulu kumiliki mali nyingi bila kujulikana chanzo chake ni nini.

Nimemsikia Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akiimba Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kuanzisha uchunguzi dhidi ukwasi alionao WAZIRI wa Fedha Mwigulu.
Unadhani hawajui!? Kamwe usitegemee chochote.
 
MOJA ya Jukumu kubwa la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni kuchunguza Malalamiko au tuhuma zinazotolewa na wananchi dhidi ya kiongozi fulani wa umma, Mwigulu Nchemba amekuwa akituhumiwa na wananchi kuwa na ukwasi uliopitiliza huku wapi alikozitoa mali hizo ikibaki kuwa utata.

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma mna kauli gani kuhusu tuhuma za Mwigulu kumiliki mali nyingi bila kujulikana chanzo chake ni nini.

Nimemsikia Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akiimba Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kuanzisha uchunguzi dhidi ukwasi alionao WAZIRI wa Fedha Mwigulu.
Mwingulu pale Dodoma kuna waganga kawaleta kutoka Gabon ndio wanao mlinda, Tangu tu achahuliwe kuwa waziri wa fedha akawaleta,
 
Back
Top Bottom