plainpaper
Member
- Oct 12, 2018
- 71
- 60
Habari wanajamvi, ninataka kusafiri nje ya nchi kwa muda wa miaka mitatu, katika tafakari zangu nimekuwa nikiwaza ni mkoa gani naweza nikamwacha mke wangu kwa muda wote huo? NImekumbuka ni Dar es Salaam pekee ndio mkoa ambao hauna madhara makubwa. Nikimuacha mkoani kuna uwezekano mkubwa wa kumkuta na watoto wengine wawili ila kwa dar es salaamu maana ni ngumu sana kwa sabab kwa mawazo yangu utafiti ukifanyika tena nahisi idadi itashuka na kuwa asilimia 28% badala ya 40%. Wanaume wa dar oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee