Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,879
- 155,846
- Thread starter
- #41
Uliwafuatia nini papaa mukulu?Asee wale machangu wa Meeda wachafu bana daaah.
Uliwafuatia nini papaa mukulu?Asee wale machangu wa Meeda wachafu bana daaah.
Mazereu kabisana ukiona mwanaume anachukua changu wala sio wa kuongea naye.
Sema na Mungu wako tu ashughulike naye.
cheating, i can live with it hasa kama mwanamke ni mzuri na behaved kuliko mie.
Changudoa? Hiyo ni zereyu.
Hahaaaa hahaaa zereu.!!! sio zereu huyo ujue anakuheshimu na kukupendaMazereu kabisa
wapendwa hutakiwi kupambana na hsgirl,shost wala changudoa utapata wazimu bure pambana na mumeo muweke kwenye maombi haswa atahangaika wee akishaonja joto ya jiwe atarudi tu na kutulia sema la msingi na kuhofia ni gonjwa letu hili by the way kunguru anafugika ni tabia tu!