Harmon
New Member
- Mar 13, 2017
- 2
- 0
Mimi ni mwanamke mtanzania ninaomba kazi kwa yeyote anayejua kama kuna nafasi kama hii nilio na ujuzi nayo Kama vile
Customer care
Secretarial
Office Assistance
Ninao uzoefu wa kutosha katika fani hizo hapo juu, kwa hiyo kwa yeyote mwenye kujua ama kama ana inestment inayohitaji mtu mwenye ujuzi huo hapo then plz niko hapa.
Asanteni sana.
Customer care
Secretarial
Office Assistance
Ninao uzoefu wa kutosha katika fani hizo hapo juu, kwa hiyo kwa yeyote mwenye kujua ama kama ana inestment inayohitaji mtu mwenye ujuzi huo hapo then plz niko hapa.
Asanteni sana.