Second selection za NACTE zinaweza kutoka lini?

Second selection za NACTE zinaweza kutoka lini?

Tarehe 15 labda niulize swali dead line ni tarehe 15 Sasa labda mtu akatuma maombi tarehe 14 Au 15 Sasa hapo itakuwaje au haiwezekani
 
10th September 2016 13:49:42
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UTEUZI WA PILI KATIKA KOZI ZA CHETI NA DIPLOMA KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017
Date Posted: 10th September 2016 13:49:42 Posted By: NACTE



Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) linapenda kuwaarifu wote walioomba kudahiliwa katika kozi mbali mbali za cheti na diploma na Umma kwa ujumla kuwa uhakiki wa uteuzi wa awamu ya pili kwa waombaji wa cheti na diploma umekamilika na kwamba uteuzi huu sasa unaonekana kwenye kurasa binafsi (profile) za waombaji. Hii ina maana kuwa waliochaguliwa sasa wanaweza kuona mahali walipochaguliwa kupitia kurasa zao binafsi.

Hata hivyo, Baraza linaomba radhi kwa kuwa uhakiki wa uteuzi kwa baadhi ya vyuo haujakamilika hivyo Baraza litashindwa kuwaonyesha waombaji wa vyuo hivyo uteuzi wao. Vyuo hivyo ni pamoja na vyuo vya kilimo na uvuvi na baadhi ya vyuo vikuu.

Baraza pia linapenda kuwaarifu waombaji waliofanya maombi kwenye vyuo vya Ualimu vya Serikali kuwa uteuzi kwenye vyuo hivyo bado unasubiri mwongozo wa Serikali na hivyo watafahamishwa mara Baraza litakapopata mwongozo kutoka Wizara yenye dhamana ya Elimu juu ya uchaguzi huo.

Imetolewa na

Ofisi ya Katibu Mtendaji

NACTE

Tarehe: 10 Septemba, 2016

copy and paste
 
Friend wangu mm aliomba tarehe 11 kwahyo anaweza asichaguliwe????
 
Jamani mie awali hta Ku log in my profile haikubali
1473740066548.png
 
Basic technician certificate na technician certificate kuna utofauti gani hapo
 

Attachments

  • Screenshot_2016-09-13-15-08-49.png
    Screenshot_2016-09-13-15-08-49.png
    19.8 KB · Views: 94
  • Screenshot_2016-09-11-00-25-07.png
    Screenshot_2016-09-11-00-25-07.png
    25.6 KB · Views: 91
  • Screenshot_2016-09-13-15-08-56.png
    Screenshot_2016-09-13-15-08-56.png
    11.8 KB · Views: 82
  • Screenshot_2016-09-13-15-09-01.png
    Screenshot_2016-09-13-15-09-01.png
    13.8 KB · Views: 88
Nimeona hta mie sasa sielew sijui ndio hvyo mpka tar 15 au niwafuate nacte?
 
Search google *nacte* then *central admission system* then *log in* ukishindwa toa username na password watu wakuangalizie
Username: S2569/0028/2013
PASSWORD: qg3bjJ9d. Msaidie mdogo angu pse
 
Back
Top Bottom