Search for Utouh successor begins

hivi bado una imani na blandina nyoni?

 
vipi ile ya IGP tulioambiwa walioko kwenye shortlist ni thobias andengenye, magu na msangi na baadaye kweli IGP akatoka katika hao?
bila shaka tatizo hapa ni mfumo, na nadhani hii katiba ingeenda vizuri ingetunyooshea haya yote.
 
Dr assad ni jembe na anafaa kbs katika hiyo nafasi tena hata zaid ya anaetoka...ila sasa akichanganya siasa kwenye taaluma yake atajiharibia sana ground na heshima alioijenga hasa kwa wanaomfahamu kuanzia UDSM .ni nzuri sana
 
Dr Assad kitaaluma yuko vizuri ila maadili yake yako tenge. Ana ukakasii mwingii tuuu tena wa mambo yasiyoendana na nafasi ya taaluma yake.
Nafasi hii ni nyeti na inahitaji mwongozo mzuri wa KATIBA kumpata mtu makini, mweledi na anayeiweza na kulindwaa sawa sawa KIKATIBA.
Kwa hali ilivyooo ya siasa zetu Assadi ana fursa nzurii kuteuliwa na mteulee...
 
Mameno hajiwezi, Blandika kashfa na Prof Mdini. Kwa kifupi wote hawafai. Ni wakati wa wengine, ikibidi vijana HATA diaspora sawa tu!.
 
Mnaosema Prof ASSAD ni mdini mbona mnambatiza udini bila ushahidi?
 
Mnaosema Prof ASSAD ni mdini mbona mnambatiza udini bila ushahidi?

Unajua siku hizi ukiwa wa dini tofauti na mimi nikikukataa nakuita mdini, ni kanjia fulani ka ubaguzi hata kama sina ushahidi.
 
Dr Assad ni kichwa hatari ......ngoja tuone kama Pius Maneno atampiku bosi wake pale NBAA Dr Assad .......lakini kama ingekuwa uamuzi wangu Dr ASSAD ni nguli ambaye inabidi atoke pale UDSM na NBAA atumike kisawasawa ....

From December 2013; Assad ni Professor...
 
Haya majina ya Assady isije ikawa kama Syria!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
  1. Dr. Assad ni mtaaluma, ana uzoefu kwa kufundisha sio kusmamia taasisi kubwa ya ukaguzi. Stadi zinazotakiwa hapo ni za ukaguzi na usmamizi wa kazi za ukaguzi. Utendaji na ufundshaji n stadi mbl tofauti
  2. Maneno pia uzoefu wake ni wa kitaaluma ya uhasibu na sio ukaguzi kama requred skills. Skills znazohitajika hapa ni za kitaaluma lakini pia zinazopatikana kazini kwa kufanya kazi. Sio vema na haki kudhani kila kazi inaweza ikafanywa na Profesa au Dr. taaluma hizi ni za kufundishia (resource persons). Tena stadi kubwa za watu hawa ni kufanya utafiti za kuibua maarifa mapya sio day to day routine jobs. Kuwaondoa maprofesa chuoni ni sawa kuwaonda madaktari hospitali na kuwapeleka makao makuu ya wizara ya Afya na ustawi wa jamii kujadili sera na mipango kazi ya Wachumi.
  3. Mama B. Nyoni sijui ni kwa nini anafikiriwa katika nafasi hii. Hana back ground ya ukaguzi. Nafasi zote alizopata kushika ni Ceremonial nazo pia aliteuliwa. Hata hivyo sehemu zote alionyesha udhaifu mkubwa kiutendaji. Labda kama kuna utendaji wa siri ambao hatuujui, lakini nafasi anayofikiriwa kupewa ni ya Public for the interest of the Public, sasa kama anaweza kutumia nafasi ya umma kumfurahisha mtu mmoja tena kwa siri sidhani kama ni sifa pekee nzuri
  4. Binafsi ningeonelea, ingawaje maoni yangu yanaweza kuwa sio muhimu, mtu anayefaa kushika nafasi hii anweza kuwa ni yule aliyepata kufanya kazi katika ofisi ya Taifa ya ukaguzi, muadilifu, mweledi na of indipendent state of mind.
 
Nampendekeza Pr Asaad arith mikob tatizo sikuhiz sijui kikwete anapitia humu kila mnae mpendekeza ni kama tunamtia nuksi anzai mpendekezo nani atarith mikoba ya IGP,nani angerith mikoba ple TRA nk, wote jk aliwatosa eti hataki kutabirika, ni kwenye safari tuu ndo anatabirika na hawepi.
 

Iyo sifa namba 4 uliyoitaja hapo juu mtu huyo hayupo Tanganyika hii.
 
Of course atapewa Asad hao wengine wote wasindikizaji. Changa la macho!
 
Tatizo la Tanzania ni mfumo wetu tu wa uteuzi wa viongozi , mara nyingi watu wakianza kujadiliwa hivi wanakuwa disqualified na wachuja majina especially nafasi nyeti kama hizi ,
 
Hakika atapewa dr. Assad mwenye udini uliopindukia aliyekuwa anadiriki kufundisha wanafunzi wa kiislam mitihani na majibu ya mitihani ya accounts msikitini au masjid chuo kikuu cha Dar es Salaam. Tunawashukuru wale waliojifanya waislam kwa kuvaa mabaibui ili kwenda kupata ukweli. Ninasikitika kipindi kile hakukuwa na mobile phone kabisa angerekodiwa. Mdini na hujumati kubwa sana. Tena kifamilia hovyo kabisa. Alimtesa sana mkewe. Berverly mtoto wa Prof maarufu wa uchumi sijui kama bado wako wote. Hana maana Assad. Pro Assad niwieni radhi huo ndiyo ukweli.
 
Of course atapewa Asad hao wengine wote wasindikizaji. Changa la macho!

Ni kweli na iko wazi muda mrefu sana nafikiri na vetting tayari. Changa tu hili. Jamaa hawezi kumwacha kabisa.
 

Unayemzungumzia siye Assad ninayemfahamu, la utakuwa hukusoma BCOM UDSM unasikia story tu.
 
mi napendekeza kama ikulu itanisikia nafasi hii apewe mtu mmoja ni kichwa,anaitwa DR. Evans Rweikiza alikuwa pale CEO TPSF, na aliwahi kugombea ubunge wa afrika mashariki akashindwa, ila atatusaidia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…