Inatumika, nimekuwa naitumia mwenyewe niliinunua brand new.
Bei: TZS 2.3m
Brand: Kinglion
Model: Slick 150
cc: 150
Serious buyer karibu inbox!
Bei: TZS 2.3m
Brand: Kinglion
Model: Slick 150
cc: 150
Serious buyer karibu inbox!
Either chombo kina story ama muuzaji ndio ana story. Katika hali ya kawaida huwezi kuuza mali ya almost 4m kwa 300k.Kuna jamaa yuko na byke kama hio anauza 300k
Muache uongo kama huna la kusema ni bora ukae kimya tuKuna jamaa yuko na byke kama hio anauza 300k
we ndio ukae kimyaMuache uongo kama huna la kusema ni bora ukae kimya tu
Mkuu usipende kulisemea Jambo usilo juwa.Muache uongo kama huna la kusema ni bora ukae kimya tu
Hivi unazijua bei zake hizi zikiwa mpya?we ndio ukae kimya
View attachment 3512450
Mpya unajua zinauzwaje?Mkuu usipende kulisemea Jambo usilo juwa.
Kakuwekea ushahidi.
Hii ya hapa KingLion ya mchina na ile Yamaha ya mjapani.
Caburator siyo bei kubwa.
ndio mana nikasema lazima kuna story. So hapa, shida ni muuzaji na chombo chenyewe. Yangu mimi naitumia hakuna shida yeyote. Yani ni kuwasha na kuondoka. Hapa yenyewe naenda kuiwasha mda sio mrefu nitoke nayo. Naendelea kuitumia.we ndio ukae kimya
View attachment 3512450