Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,045
Wambie mkuu ilikuwepo Black death, iliua watu wengi inakadiriwa iliua kati ya watu milion 75 mpaka 200Mkuu hizi assertion zako sidhani una any biological mechanism kuzi backup.
Kama unazo evidence nasio dhahania ndo uzilete mnakuza vitu tu
Milipuko imekuwepo kabla ya Yesu huu sio wa kwanza na hautakuwabwa mwisho
Sent using Jamii Forums mobile app