Chum Kane
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 1,148
- 952
Salaam wajumbe wa jukwaa hili.
Nafasi za masomo zinazotangazwa na Wizara ya Elimu mbona magumashi...Wanatoa tangazo mathalani leo na mwisho wa kuwasilisha maombi yako ni siku nne baadae. Je, hii ni haki? Au wanakuwa tayari na watu wao na haya matangazo ni Geresha tu?
Mtanzania aliyeko Ruvuma anaweza vipi kupata hati ya kusafiria(Passport) ndani ya muda huo mchache na kuwasilisha copy yake? Nini maoni yako wewe mdau wa jukwaa hili la Elimu kuhusu hizi Scholarship za Wizara?
Karibuni.
Nafasi za masomo zinazotangazwa na Wizara ya Elimu mbona magumashi...Wanatoa tangazo mathalani leo na mwisho wa kuwasilisha maombi yako ni siku nne baadae. Je, hii ni haki? Au wanakuwa tayari na watu wao na haya matangazo ni Geresha tu?
Mtanzania aliyeko Ruvuma anaweza vipi kupata hati ya kusafiria(Passport) ndani ya muda huo mchache na kuwasilisha copy yake? Nini maoni yako wewe mdau wa jukwaa hili la Elimu kuhusu hizi Scholarship za Wizara?
Karibuni.