Watanzania kunaopportunity ya kwenda kusoma masters na phd kwenye field mbali mbali through this full scholarship offered by African Union. Nitaweka link muione vizuri. Mi ni mmoja wa waliochaguliwa for a master program through that scholarship. Yaan tuliochaguliwa ni wawili tu toka tanzania sababu hakuna watu wanaoapply. Wakati nchi nyingine ni 20 hadi 30