Scholar claiming coronavirus was “Allah’s punishment” tests positive

Lete ushahidi wako pia!
Weka sawa hoja yako.
Una maanisha "warabu waislamu" au unamaanisha "waislamu/waarabu" ambao hawapati kuruani viruses?.
 
Kwani waislam hawabagui dini zingine? Mbaguzi namba moja wa dini za wengine ni muislam

Wao wanataka wapewe haki ila wao hawataki dini zingine zipewe haki
Lakini Mashekhe point yao iko wazi China iache kuwabagua raia wake kwa misingi ya dini
Mfano tu hawataki makanisa nchi zao ila wao wanataka wawepo kila sehemu

Leo hii ni marufuku kupeleka mikutano ya injili nchi zao, huwezi kusikia T. B. Joshua ana mkutano wa injili Madina au Saudi Arabia

Wachina yes ni wabaguzi ila waislam ni wabaguzi namba moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushaanza kuandika usivyovijua kwa makusudi au bahati mbaya , nani kakwambia ALLAH ndie Mohammad ?
Mara kadhaa wazo kuhusu 'Allah' limetumika kutimiza tamaa zake mwenyewe. i.e pretext.
Lakini nyuma yake alikua yeye anajilinda dhidi ya wale wanaotaka kumu-expose.
 
Mara kadhaa wazo kuhusu 'Allah' limetumika kutimiza tamaa zake mwenyewe. i.e pretext.
Lakini nyuma yake alikua yeye anajilinda dhidi ya wale wanaotaka kumu-expose.
Umeona sasa hizi ni kelele sio HOJA , mara ngapi QURAN imemueleza Mohammed kama mtu tu aliepewa unabii basi
 
Kwanza lazima Utafautishe sifa na Jina, Mke wako akikuita Mpenzi, au Honey au Wamoyo wangu hio haimaanishi kua hilo ni jina lake. Hilo Habeeb, Muustafa, Shahid na mengineyo sio majina yake isipokuwa ni sifa alizopewa katika Quran.
Suala la Pili inaposema Elohim ni Mungu kwa Kihibrenia, kwa nini unakataa kua Allah ni Mungu hata kwa wakristo wanazungumza kiarabu? Au wakristo wa kiarabu wana jina jengine la Mungu badala ya Allah?
 
Umeona sasa hizi ni kelele sio HOJA , mara ngapi QURAN imemueleza MOHAMMAD KAMA "MTU TU" ALIEPEWA UNABII BASI
Je Wewe unakubaliana na haya madai Kua Muhammad ni mtu "tu" aliyepewa unabii?
 
Je Wewe unakubaliana na haya madai Kua Muhammad ni mtu "tu" aliyepewa unabii?
Sio madai ndio ukweli kuwa Mohammed ni mtu kama mimi na wewe , alichonizidi yeye amepewa.UNABII kwa ajili ya kuongoza watu kutoka kwenye giza kuja kwenye Nuru , kwahili Mohammed anakuwa KIONGOZI hivyo tunapaswa.kumuheshimu na kumtii , ili ule ujumbe ufike kwa wakati na nidhamu iwepo
 
Mbona basi alimpinga Kristo kwa kuvunja amri za Mungu?
 

Sifa ya Muhammad kua "THE PRAISED ONE."

Who is praised Two?

Who is supposed to be praised? Allah or Mohammad.
 
Sifa ya Muhammad kua "THE PRAISED ONE."

Who is praised Two?

Who is supposed to be praised? Allah or Mohammad.
Inaonyesha Kiingereza kinakupiga chenga. Ni mmoja katika waliotukuzwa haimaanishi ni yeye peke yake au hakuna wengine waliotukuzwa
 
 
Basi sawa, Inaonyesha kweli sijui Kiingereza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pili Quran haikuandikwa kwa kINGEREZA; jARIBU KUTAFUTA tAFSIRI YA Kiswahili; Ukishindwa Rudi kwenye Original yake ya Kiarabu. Na dio maana Qurani hairuhusiwi kuandikwa kwa lugha isiokua ya kiarabu. Kitabu chochote kikitafsiriwa kwenye zaidi ya moja hakiwezi kuwa sawa na Original - Ndio maana unapotafsiri Quran unatakiwa uandike "Allah aalam" kua Mungu pekee ndio anaejua alikusudia nini binaadamu unaweza kukosea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…