Scames na matapeli wanaotumia mtandao - unawatambuaje?

Mtazamaji

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
5,937
Reaction score
1,445
Siku za karidbuni nimeona kuna threads nyingi zinaanzishwa na scammers.

Cha Kushtua zaidi baadhi ya thread walizoanzisha scammers hapa zinagongewa like . Hii inaonyesha kuna watu wanaweza kuwanaswa kwenye mtego. Mfano kuna thread pia ilikuwa inatangza jamaa wanauzza simu kama iphone kwa bei chee,, kuna dada mmoja alitumia avator ya mremb ya kuvutia akaomba site yake iwekwe jf aili apate traffic milioni moja kutoka Tanzania..... Sijui kama Uongozi wa JF ulimkubalia. ..... etc

Sasa basi nimeshawishika tuhsirikiane ni vipi wenzangu mnaweza kutambua tovuti hatarishi

Mara nyingi tovuti hata rishi hazina sehemu unaweza uona physical address yao. Toovuti inaweza kutangaza inafanya bishara lakini haina contuct us huwezi jua kuwa ofisi zao zipo Nigeria Tanzania USA au UK. Jaribu kutazama hii tvuti NowExam: Best Practice & Professional IT Certification Study Materials,Guaranteed Certify! pia unaweza kungalia comment ya 4 katika hii thread. https://www.jamiiforums.com/tech-ga...um/159153-does-iphone-4-work-in-tanzania.html . kuna thread pia ilikuwa inatangza jamaa wanauzza simu kama iphone kwa bei chee. kuna dada mmoja alitumia avator ya mremb ya kuvutia akaomba site yake iwekwe jf aili apate link milioni moja kutoka Tanzania..... Sijui kama Uongoziwa JF ulimkubalia.

Anyway tuendelee ..... sasa unazitambuaje hizi tovuti za kitapeli??

  • Mara nyingi hizi tovuti zinakuwa zimeazishwa siku au miezi michache iliyopita. So ukiona tovuti nimpya na wakati huo huo kuna taratibu za kujaza fomu za taarifa zako na account zako basi huo unaweza uwa mtego


  • Mara yingi ukifanya na mawasiliano ya email utagundua kuwa wanatumia free mail server. Japo wanatumia free mail server wanajaribu tumia jina linaloshawishii kuwa ni inaweza kuwa ni mail isio na shaka.

Wadau tuendelee na binafsi nitaendelea kuongeza njia na mbinu wanazotumia kuwanasa waathirika na ni vipi unaweza kuwatamabua.

Otherwise mnaweza k u google pia "how to indetify scammers" then tuaandika hapa summary ya yale tuliyosoma

Nawasilisha........
 
Nimemaliza kuandika hii thread kuna post nyingine hii https://www.jamiiforums.com/jf-chit...seful-tips-on-choosing-home-alarm-system.html
Uki connect the dots na baadhi ya vigezo nimetoa utagudnua kuwa hawa ni matapeli japo wanaweza kuwa katika taarifa yao wametaja makampuni halali

The dots iliyoninifanya nigundue ni matapeli ni
Kwenye whois.com inaokena tovuti yao ya Burglar Alarm System Perimeter Security System Surveillance Camera DVRs, Central Monitoring Station imesajiliwa 01-dec-2010 na ina expire 01-dec-2011. Kampuni kubwa kama hii haingii akilini kuwa wameanza kuwa na tovuti mwaka jana tu

Nina wasi wasi hawa jamaaa wameshawanasa na wanazidi kuwanasa wadau mbali mbali wa hapa jf ndio maana siku za karibuni wanakuja kwa style mbali mbali. na kwa kasi
 
Thanks mkuu kwa msaada....mi nifahamishe zaidi juu ya wale wanaokuja na stor kuwa....mayb yupo refugeesCamp then ana pesa ya urithi ipo Bank anahitaji msaada ili kuipata...,akiweza kusaidiwa malipo ni 30% ya hiyo pesa (11600000 USD)....,Documents zote anazo.
Unadhani anahitaji nini toka kwangu..

source,,Mimi mwenyewe nimekutana na huyo mtu kwenye chating rum..
 

Mku mimi nimeha enda no watu wa hivyo mpaka wakachomoa wenyewe

Huo utapeli wa mtu kuwa na pesa bank kutaka kumsaidia kuamisha umeshakuwa coomon na nadahni wengi wanaujua. Ila ukikibali atakachofanya ni kukuomba account detail zako za bank ili aweze kuhamisha hizo pesa. Ok nimewahi kutengeza dummy accunt ilikuwa na na buku 20,000 tu nikampa. Baada ya kupata deail zote akadai nimtudie kwanza dola 100 ili aweze kuamisha hivyo cheque.

Nikamwambia akate dola 100 kwenye hiyo commision yangu. OHhh hakosi jibu manen mengi but mwisho wa siku akasema anaona sitaki kusmaidia na anaomba nismwambie mtu. teh teh teh.

So kabla ya kukutumai kutumia hizo pesa feki utajiuta unatuma pesa nyingi .ila siku story inabadilika. ukwia mjanja kuchomoa analegeza fix anakumbia kaweza ulipa gharama fulani lakini wewe ulipe gharama nyingine.

Cha ajabu ukikubali kuwatumia pesa muulize adress ambayo anataka umtumie hizo pesa.Kama sio makini unaweza usishtuke lakini kwa mtu makini utagudua tu ni matapeli

Na hizo Pesa ni story tu......
 
Top 7 tricks used by scammers

Unaweza kutembelea zaidi link hizi kujua some dirty but convicing tricks wanazotumia
Scammers favourite tricks
 
Work from home scams - Kuna jamaa mmoja ni member wa jf anatangaza sana huu utapeli wa woring from from home hapa jf . Tena wanasema ofisi yao ipo Millenium tower. Sometime dont trsut hata mtu akikuambia ana ofisi. Jaribu kuelewa
vizuri deal . Soma maelezo chini ujue kwa nini unaweza au umeingia za kitapeli.......
 
 
Mtazamaji

scammers wana njia nyingi sana wengi wao 70%+ ni kutoka west africa sasa ni bora ukutane na mnigeria kuliko mghana coz hawa jamaa hawapigi michezo ya kitoto huwa wanaakili sana, swala la contacts unaweza ukakuta mtu ameweka contacts eg phone numbers na home address ni za uk na ukimcall anapokea kumbe yupo ghana coz hizi namba sasa hivi (kwasababu za kimaadili sitaweza kueleza zaidi)

wel, wakati mwingine njia rahisi ni ile ukipata email au jina jaribu kucopy and pest then google kama ni scam ni lazima itaappear ktk search results coz hizi emails huwa zinatumwa randomly kwa wengi

pia kwa uchunguzi wangu kitaaluma (image processing) nilipokuwa nikiutafiti mtandao wa facebook ni mtandao hatari sana your privacy is nothing there.. wanatrick nyingi sana kupata taarifa binafsi mfano unaweza kuambiwa your account is at risk please to prove that this account is yours answer the following qns then inatokea picha ya mtu friend wako halafu " who is this person?" inakupa arnd 5 multiple choices mpk wafike watu 6/7. Sasa hapa ni kwamba wanauliza maswali kama haya watu wengi na kurecord majibu so hata kama hujawahi kutoa private info zako wengine watazitoa at last wanakuwa na full names + picha yako iliyokuwa approved na wanaokufahamu
 
Mkuu NowExam sio scam website, usije ukawaharibia wenzako biashara. Alexa inajaribu (poorly) kupima popularity ya website, kwa kuwa NowExam ni website inayouza product ambayo watu wachache wanaihitaji haiwezi ikawa na rank kubwa hata siku moja. Kwa kifupi website kutokuwa popular haina maana kuwa ni scam.

Na hao wachina nao wanaelekea kuwa wa kweli pia, kila website kuna kipindi ilikuwa na mwaka mmoja haina maana kuwa ni scam, labda ni kampuni mpya, labda wamebadilisha tovuti recently.

Ukishaona kampuni inapokea PayPal ni vigumu sana kuwa scam, maana PayPal wanapendelea sana upande wa mteja akilalamika wanarudisha hela bila kujila mwuzaji anasemaje, credi cards nayo pia hivyo hivyo mteja akilalamika charges zinakuwa reversed.
Na zikiwa nyingi account yako itafungwa na paypal na hela kushikliliwa.

Scams zinahitaji njia za malipo ambazo ni ngumu kutrace na kureverse kama Western Union.
 

Kang nauhakikishia kamaipi taasisis ya halali inayitwa noweexam basi sio hao walioweka detail zao hapa jf. Hao walioeka detail ao hapa jf ni matapeli. Sometime wanatumia majina ya taasisi halali kunasa watu. How come watu hawana physical adress.

Unajua Sio kwamba utamtambua scamers kwa kigezo kimoja tu . kama wewe unasema nowexam ni kampuni halali na unaamini NowExam: Best Practice & Professional IT Certification Study Materials,Guaranteed Certify! ndio website yao basi angalia usije ukanaswa siu moja. huyo member anajiita noewexam pia alituma comment numbe 4 kwenye post hii https://www.jamiiforums.com/tech-ga...um/159153-does-iphone-4-work-in-tanzania.html. Bado hujaona tatizo. Mu jaribu utembea hio site jaribu kufanya uchunguzi zaidi. Usibweteke kwa uwa wanatumia jina la kmapuni halali. angali site kama lynda.com About Us - lynda.com. Mm sijashawishika kuwa hao nowexam ni kampuni ya kuaminika.

siubaliani na wewe kampuni ambayo mosty wateja wake wengi inawapata through through mtandao
. Au wanaua bidhaa zao thrugh pyhysically nyumba kwa nyumba? Au ni kweli website yao imezunduliwa mwaka huu. Japo data za lexa so sahihi but zina indicate something..... Nimesoma na makala a wataalam wengine baadhi yao wanataja kuwa alexa inaweza kutumika kama kigezo



Hao wachina wao wameweka contacts nikipata hela nitapiga nisikie lakini pia kuna tatizo. .......Sisemi kila website ikiwa na mwaka mmoja ni scam. website zinaanzishwa kila siku lakini dukuduku kampuni kubwa kama hiyo kama inalipia domain kwa mwaka moja mmoja pia something is wrong. Otherise Mkuu kama unaweza si wameweka contats zao jaribu uchagua product useme unataka kununua. Nikipata muda nitajaribu na kutoa feedback. Lets do a reserach tusiandikie mate na wino upo.
 
Accroding MacAfeeSite Advisor The WebSite name nowexam.com it is a Safe to Use.
We tested this site and didn't find any significant problems.





Source: nowexam.com | McAfee SiteAdvisor Software

Accroding MacAfeeSite Advisor The WebSite name
hkvstar.comhttp://www.siteadvisor.com/sites/no.../><br />Please give me a feedback and Rate Me
We tested this site and didn't find any significant problems.


Source: http://www.siteadvisor.com/sites/hkvstar.com?pip=false&premium=false&client_uid=2026956380&client_ver=3.3.1.133&client_type=IEPlugin&suite=false&aff_id=0&locale=en_us&os_ver=6.1.0.0

Use WOT is a Free Internet Security addon for Firefox and IE that warns you about risky websites that try to deliver malware, online scams or send spam WOT is a free Internet security addon for your browser. It will keep you safe from online scams, identity theft, spyware, spam, viruses and unreliable shopping sites. WOT warns you before you interact with a risky website. It's easy and it's free.
To Download Wot Press here http://www.mywot.com/

Use McAfee SiteAdvisor is the virtual equivalent of the school crossing guard, helping to ensure safe navigation of the web.
Pros
Helps protect against spyware and adware
Alerts on potentially malicious web sites
Provides safety ratings for search results
Helps filter safe web sites from not so safe web sites
Helps to identify nefarious phishing scam sites To Download McAfee SiteAdvisor Press here http://www.siteadvisor.com/

Please give me a feedback and Rate Me
 
Accroding MacAfeeSite Advisor The WebSite name nowexam.com it is a Safe to Use.We tested this site and didn't find any significant problems.................................................................


Mzizimkavu scammers hawatuimii virus wala spyware. So dont rely on antivirus or intent security to protect you from scammers. Its only your brain. na kuelewa trick zao. Sio macfee wala karspesky wala bitdefnder itauambia website unayotembea ni ya scammer. There are no malicious scammming javascript or html code..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…