SBT: Japan

SBT: Japan

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,568
Habari mkuu,

Naombeni msaada, jana hawa watu wamenitumia document yenye bei za magari yao. Ila nayaona kama yapo expensive kuliko Befoward.
 
Kwa mtazamo wangu beforward wako more organised, but kwa bei sbt wana room kubwa ya ku negotiate bei nzuri.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
SBT bei za kuanzia ziko juu ila unaweza kuwashusha, na magari yao yako kwenye hali nzuri zaidi kulinganisha na Beforward
 
shukran mkuu. Note taken
 
SBT wako vizuri sana yangu,ongea nao watakupa punguzo zuri sana. Hao wengine sijawahi ongea nao,ila hao huwa naongea nao hata kwa simu.
 
Kweli SBT n wazuri,nimenunua gar Kama 4 hiv toka Kwao . Bei iko juu, lakin unaweza kunegotiate nao vizur tu. Uzuri wa hawa jamaa, gari inakuwa safi kabisa.
 
Habari mkuu,

Naombeni msaada, jana hawa watu wamenitumia document yenye bei za magari yao. Ila nayaona kama yapo expensive kuliko Befoward.

mkuu usijaribu kuwapa namba zako za simu, watakusumbua hadi kero!!
 
mkuu usijaribu kuwapa namba zako za simu, watakusumbua hadi kero!!

Wale wadada Marry na team yake ya sales kwa Africa,hata sio wasumbufu bali wanafuatilia sana ahadi za wateja wao. Jins utakavyowaeleza nao ndivyo watafatilia ahadi yako. Nadhani kwa issue ya Masoko ni lazima iwe hivyo,huwezi acha shilingi ikapotea.
 
Wale wadada Marry na team yake ya sales kwa Africa,hata sio wasumbufu bali wanafuatilia sana ahadi za wateja wao. Jins utakavyowaeleza nao ndivyo watafatilia ahadi yako. Nadhani kwa issue ya Masoko ni lazima iwe hivyo,huwezi acha shilingi ikapotea.

sbt kuna jamaa mmoja anaitwa mutahir...anapiga simu hata mara 1000 kwa siku..nawakubali be forward ni professional sana..
 
SBT walikuwa International House ila kwa sasa sijui wamehamia wapi mtafute jamaa anaitwa Fredy ni mkenya ongeaa naye na anaweza kukuinguza oline!
 
Wako wapi hawa,nilisikiag wana bei nzur

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
mkuu usijaribu kuwapa namba zako za simu, watakusumbua hadi kero!!

Kuna jamaa anaitwa Hassan, yaani akipiga usipopokea anaacha hadi Ujumbe. Jamaa kama bidii ya masoko anayo aisee.
 
Hahaha!

yan mtu unafananisha ubora wa mgari ya SBT na beforward! Nadhan SBT yuko vizuri kwenye bei as ukinegotiate unapate gar kwa bei chee lakin magari yao mostly ni vimeo!

uliza ma agent wa C@F watakwambia ubovu wa magar ya hawa jamaa. Beforward wana magari mazur ndio mana hawana negotiation na longo longo sana kwenye price kama SBT.
 
SBT bei za kuanzia ziko juu ila unaweza kuwashusha, na magari yao yako kwenye hali nzuri zaidi kulinganisha na Beforward

Naomba nisaidiwe muongozo wa kununua gari sbt, maana walisha nitumia profomer invoice, na wananipigia sana simu, cha kushangaza mara nyingine ni simu za hapa nchi namba wanazozitumia ukipiga haziingii, mara zote zinakaa au zipo busy
 
Kama unahitaji gari tuwasiliane ipo company na deal nayo kwa miaka mitano sasa they are very good.they offer 50% on order placement and rest against bill of lading
 
Mpaka nimewablock kwa namba zote tena wakati mwingine wanatumia na ya tigo

Kuna jamaa anaitwa Hassan, yaani akipiga usipopokea anaacha hadi Ujumbe. Jamaa kama bidii ya masoko anayo aisee.

yani wakuu walikuwa wananismubua hadi nikajuta kuwapa namba yangu, sasa sijui wanafikiri kununua gari ni kama nyanya unakwenda nunua sokoni, yani ni rahis kivile. unamwambia utawatafuta ukiwa na cash, hawaelewi baada ya siku moja tena wanakupigia!!! nikakariri namba zao nikawa nakata tu sipokei, kwa sasa wameacha kunipigia, lakini nahis kuna siku tena watazinduka na kuanza kunisumbua!
 
ukweli magari ya sbjt mengi yamekwenda km nyingi, mpaka sasa sijaona wa kuwa-beat tradecarview kwa bei nafuu na uwingi wa magari!!

hao beforwad na sijui akina nani unakuta hata models nyingine za magari hakuna, lakini sijawahi kosa models yoyote ya gari tradecarview!!


Hahaha!

yan mtu unafananisha ubora wa mgari ya SBT na beforward! Nadhan SBT yuko vizuri kwenye bei as ukinegotiate unapate gar kwa bei chee lakin magari yao mostly ni vimeo!

uliza ma agent wa C@F watakwambia ubovu wa magar ya hawa jamaa. Beforward wana magari mazur ndio mana hawana negotiation na longo longo sana kwenye price kama SBT.
 
Back
Top Bottom