Kuda duka lipo opposite na nyumba nayoishi, mwenye duka ni mmama mkorofi sana, anauza bidhaa zime expire na ukiuliza anatoa maneno makali sana na anasema kama hutaki acha, nimeacha kabisa kwenda kwenye hilo duka.
Ha ha ha! Hako kadada kanakofanana na baba yake kako very rude! Kalitakiwa kuwa askari magereza tena wa kuwahudumia wale majambazi sugu! Sijawahi kumuona akitabasamu hata cku moja...
Du kwani akina baba ndo wana sura ngumu hivyo? unaweza ukute baba matu hana sura ya ukakasi kiasi hicho! Je huyo akizaa mtoto anaefanana na yeye utasema sura ya nani?