Hudhuria haraka hospitali ya kitaifa ka vile Muhumbili, KCMC, Dodoma Hosp. Pata reference ya Daktari. Wahisha kwa katibu wa bunge, peleka state hse ndio akuidhinishie. Sasa kama badala ya kutafuta hayo wewe unaenda kutafuta Private plane ya kukutoroshea nje ya nchi. Wataka nini??