Mzee wa Masauti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 2,199
- 2,508
Acha upimbi weweKwenda kutibiwa nje zipo taratibu zinatakiwa kufuatwa, huwezi kurupuka ukaenda nje ya nchi ww mwenyewe halafu utegemee serikali ilipie. Moja ya kigezo cha kugharamiwa ni lazima uende kutibiwa nje kwa rufaa ya hospitali ya Taifa ya muhimbili. Wabunge wote hao wamefuata utaratibu huo? Ifahamike kuwa sheria haisomwi peke yake bila kanuni na miongozo.
Binafsi siungi mkono ubaguzi au ukandamizaji wa kundi lolote lile. Haki za kila mbunge na kila mtanzania na kila mtumishi lazima zizingatiwe na sheria kanuni na miongozo lazima ifuatwe.
Kwani matibabu ya UKiMWI na KISUKARI yanahitaji rufaa kutoka Muhimbili??. Mbona tunaweza kutibu. Cha ajabu spika kapelekwa India na vidole vya miguu wamekata. Swali jee Tanzaniabhatuwezi kukata vidole hadi apelekwe nje?
Ingawa si vizuri kutaja ugonjwa wa mtu bila ridhaaila imenibidi niseme tu.