Sauti Kubwa: Ndugai akuza deni la matibabu nje ya nchi adaiwa kulamba milioni 500 ndani ya miezi mitano

Status
Not open for further replies.
hii spika imekula hela mingi kwa matengenezo yake ila bado n mzigo. alafu haitaki wengine watibiwe
 
Nategemea wale waliokuwa wanaunga mkono hoja ya Mr. Jiwe kubana matumizi kwa safari za matibabu nje ya nchi kwa kuondoa urahisi uliokuwepo kwa maafisa wake na wabunge kupata kibali cha kwenda kutibiwa ughaibuni na hasa India watakemea vikali hili na si vinginevyo.
 
Eeeeeee kila mbuzi ale kutokana na urefu wa kamba yake, maana sisi ndio wajinga, mpaka pale mabichwa yetu yatakapotoka uzombi, mtani kukavuuu, watu wanapiga MABILIONI ya hela, ikifika uchguzi vaa dira la kijani au T-shirt ya kijani upumbazike
 
Stahili za spika ni tofauti Na mbunge.Mbunge akifa hata Jamii forum yaweza isitangaze.Spika Hadi CNN,BBC nk watakatisha matangazo kutangaza msiba usilinganishe Spika Na akina LISU,Bulaya,mbatia au Bilago ,Rwamlaza etc he is not their equal
labda kwa kumtandika na gongo kichwani mwanaccm mwenzake .
 
Stahili za spika ni tofauti Na mbunge.Mbunge akifa hata Jamii forum yaweza isitangaze.Spika Hadi CNN,BBC nk watakatisha matangazo kutangaza msiba usilinganishe Spika Na akina LISU,Bulaya,mbatia au Bilago ,Rwamlaza etc he is not their equal
Hivi si juzi tu 2016 serikali ilipiga marufuku kutibiwa nje ya nchi maradhi yanayoweza kutibiwa ndani ya nchi mkuu!? Au umehasahau jinsi mlivyokuwa mkipiga vigelegele na kusema jamaa anabana matumizi!???
 
Nchi ni yetu wote tugawane keki ya taifa letu sawa sio kwa ubaguzi. Kuna vitu vya dharula kama haliyo ipata TL uwezi linganisha na mgonjwa wa kisukari ambaye anakwenda hospital anajitambua tofauti na mtu aliye pigwa risasi 38 za moto zilizo ingia mwilini. Kama utaratibu huo wa rufaa ungefatwa nahisi leo yangekuwa ni mengine kwenye mambo ya dharula ni bora busara iwe inatumia.Sasa mgonjwa wa kisukari wa kukatwa mguu anatumia shilingi zote hizo hama kweli hii nchi wameiona ni yao.
 
Huyo aliyeandika huo uzi huenda akawa yule mzushi wa Kigoma. Anawajua wenye akili za kushikiwa watatoa mapovu
 
Pale unapofikiria kumuombea kifo mpinzani wako
Nakumbuka tu kina Mtikila, Komba,nk
 
Duh,kweli kuna watu wanakula mema ya nchi hii

Mh Spika aliwahi kusema; Wabunge, fuateni utaratibu tu. Mambo yoote yako nje nje. Utatibiwa popote lakini ufuate utaratibu mliouweka wenyewe.
Huwezi kwenda India ukaombe malipo ukiwa India. Si haki. Huwezi kwenda Ubeleji ukaombe malipo ukiwa Amsterdam. Si kweli
 

Wakati mwingine huwa natamani Malaika washuke na moto!
 
lini ulisikia mbilikimo ndugai amepelekwa india akitokea bugando au muhimbili?
 
lini ulisikia mbilikimo ndugai amepelekwa india akitokea bugando au muhimbili?
Mimi sifahamu lkn inawezekana anayo rufaa ya muhimbili. Pia ni vyema tufahamu kuwa wakuu wa mihimili ya dola yaani spika, rais na Jaji mkuu wanazo stahili ambazo hazifanani na viongozi wengine. Usifikiri utaratibu anaotakiwa kufuata rais ni sawa na wa spika na wala usifikiri utaratibu anaotakiwa kufuata spika ni sawa na wa mbunge. Hao wanazo privelege ambazo mtu mwingine hana
 
Mkuu una hoja ya mcng sana,lkn kwa nature ya hili jukwaa kwa saizi ni ngum kujibiwa!!Ebu achana na hii tuendelee kutoa mapovu tu
 
Ingekua vema kama wanachi wa hali ya chini wakumbukwe kwenye hayo matibabu sio viongozi wa serikali pekee wenye hali nzuri za kimaisha hii nchi inatia aibu sana, kuna mama yupo wilaya ya serengeti jicho limeharibika kwa kushindwa kumudu gharama za matibabu ughaibuni.

Ndugai wamwache apumzika jana nimeona akiosha magari kushika kitambaa shida,kuhusu Lissu apambane kivyake Mchuma janga ula na wakwao.
 
Shida matumizi ya Ndungai au shida kwa sababu wapinzani hawakulipiwa hizo gharama kwahio na wao wangelipiwa ingekua sawa tu???
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…