Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 5,748
- 2,436
Ndivyo ulivyofundishwa na Nabii wako TIto???Hiyo ndiyo maana ya hayo maneno uliyoyaandika?Muulize mama yako anajua vizuri nani anaye mkuna kisawa sawa kati yangu na baba yako wa mchongo
Ndivyo ulivyofundishwa na Nabii wako TIto???Hiyo ndiyo maana ya hayo maneno uliyoyaandika?Muulize mama yako anajua vizuri nani anaye mkuna kisawa sawa kati yangu na baba yako wa mchongo
Jesus could not save anyone
The Bible also claims that Jesus cannot save anyone! Here is the passage:
Hebrews 5:1-8: 1 For every high priest taken from among men is ordained for men in things pertaining to God, that he may offer both gifts and sacrifices for sins:
2 Who can have compassion on the ignorant, and on them that are out of the way; for that he himself also is compassed with infirmity.
3 And by reason hereof he ought, as for the people, so also for himself, to offer for sins.
4 And no man taketh this honour unto himself, but he that is called of God, as was Aaron.
5 So also Christ glorified not himself to be made an high priest; but he that said unto him, Thou art my Son, to day have I begotten thee.
6 As he saith also in another place, Thou art a priest for ever after the order of Melchisedec.
7 Who in the days of his flesh, when he had offered up prayers and supplications with strong crying and tears unto him that was able to save him from death, and was heard in that he feared;
8 Though he were a Son, yet learned he obedience by the things which he suffered
So Jesus cried to the one who could save him from death, this means Jesus could not save himself from death, therefore this also means Jesus cannot save anyone else from death. How can Jesus be God when he cannot save anyone? This also shows that Jesus is not in control of life and death, God however is in control of everything, including life and death:
And they have taken besides Him gods, who do not create anything while they are themselves created, and they control not for themselves any harm or profit, <span>and they control not death nor life, nor raising (the dead) to life</span>. S. 25:3 Shakir
This verse is from the Noble Quran, I guess this sums it all up doesn’t it?
hiyo siku mbele ya muumba aliekuumba utamwambia sikua na dini
ikiwa unataka mrejesho mulisema yesu kafa kisha kafufuka basi msubirie atakuletea mrejesho atakaporudiHakuna binadamu yeyote anayejua siri ya mwisho wa binadamu, kwa sababu hakuna aliyekufa akaleta mrejesho; haya tunayodanganyana hapa duniani ni mtu kujiwekea mazingira ya kupata pesa (ajira) tu.
Swali, kuku unayemla au samaki unayemla, roho yake inaenda wapi?
Kwa hizi mvua zinazonyesha umelima mahindi kweli, au unategemea dini ndio ikuletee mahindi?ikiwa unataka mrejesho mulisema yesu kafa kisha kafufuka basi msubirie atakuletea mrejesho atakaporudi
umesahau msemo unaosema imani inaponyaKwa hizi mvua zinazonyesha umelima mahindi kweli, au unategemea dini ndio ikuletee mahindi?
Mkuu mbona unatisha watu kama vile ulishaawahi onja kifo?Makafir hata enzi za Mtume walikuwepo lkn haikuzuia uislamu kufika hadi Ulaya na Africa. Kama wewe ni mkiristo jitahidi sana ukifa ufe ukiwa muislam vyenginevyo utajuta kwanini ulibaki ktk ukiristo wako
Biblia ilianza ikaja Quran.
Yesu na Issa ni watu wawili tofauti kwahiyo usilazimishe Issa ndiyo Yesu.
1. Yesu kristo alizaliwa chini ya zizi la ng'ombe ila Issa alizaliwa chini ya mtende
2. Yesu kristo alibatizwa ila Issa hakubatizwa
3. Yesu kristo alikula Pasaka ila Issa hakula
4. Yesu kristo alitoa mapepo na majini, ndiyo maana wakristo hutoa pepo au kushinda nguvu za giza kwa kutumia jina la Yesu kristo ila Issa hakuweza
5. Yesu kristo alisoma Isaya kitabu ambacho kipo kwenye Biblia takatifu ila Issa alisoma Quran
Isaya 61
1 Roho ya Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu Bwana amenitia mafuta niwahubiri wanyenyekevu habari njema; amenituma ili kuwaganga waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari za kufunguliwa kwao.
6. Yesu kristo alisurubiwa, akafufuka, akazikwa na siku ya tatu akafufuka ila Issa hakusurubiwa wala hakufa.
Soma Biblia Takatifu Mathayo, Yohana na Luka kuna habari za Yesu kisha soma Quran yako kuhusu Issa ndiyo utajua hawa ni watu tofauti.
Yesu kristo ambaye sisi wakristo tunamuabudu hana dini wala hakuleta dini bali alikuja kuwahubiri watu habari njema, waache dhambi na kutenda mema kwa kufuata amri 10 za Mungu
Mkuu mbona unatisha watu kama vile ulishaawahi onja kifo?
Yesu kristo siyo Issa. Hawa ni watu wawili tofauti.Tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana.
Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu kama ulivyotaka tumtofautishe.
Biblia inasema kwamba:
1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).
2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).
3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).
4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).
Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia.
Na kama Wakristo mnang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi mjuwe kwamba Biblia inasema:
“Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).
Enyi ndugu Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha
wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu.
Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnategemea nini?
Karibuni katika dini ya uislamu inayomtukuza Bwana Yesu