Saudi yawapiga pini mahujaji wa Iran, hawaruhusiwi kwenda pale

Muulize mama yako anajua vizuri nani anaye mkuna kisawa sawa kati yangu na baba yako wa mchongo
Ndivyo ulivyofundishwa na Nabii wako TIto???Hiyo ndiyo maana ya hayo maneno uliyoyaandika?
 

Hapa mbona haujaongea kuhusu ushoga, ndio nimesoma ulichoandika na kugundua haujataja maushoga yenu, maana nilikua sisomi chochote unachoanidka nakujibu tu kwa kukutupia mashoga yenu na uchafu wa huyo 'mungu' wako muddy.
Kwa kifupi endelea kuandika kuhusu ushoga ili urahisishe kazi yangu ya copy pasting, ninatupia maushoga yenu bila kusoma ulichoandika, inarahisisha kazi.
 

Jesus could not save anyone​


The Bible also claims that Jesus cannot save anyone! Here is the passage:


Hebrews 5:1-8: 1 For every high priest taken from among men is ordained for men in things pertaining to God, that he may offer both gifts and sacrifices for sins:

2 Who can have compassion on the ignorant, and on them that are out of the way; for that he himself also is compassed with infirmity.

3 And by reason hereof he ought, as for the people, so also for himself, to offer for sins.

4 And no man taketh this honour unto himself, but he that is called of God, as was Aaron.

5 So also Christ glorified not himself to be made an high priest; but he that said unto him, Thou art my Son, to day have I begotten thee.

6 As he saith also in another place, Thou art a priest for ever after the order of Melchisedec.

7 Who in the days of his flesh, when he had offered up prayers and supplications with strong crying and tears unto him that was able to save him from death, and was heard in that he feared;

8 Though he were a Son, yet learned he obedience by the things which he suffered


So Jesus cried to the one who could save him from death, this means Jesus could not save himself from death, therefore this also means Jesus cannot save anyone else from death. How can Jesus be God when he cannot save anyone? This also shows that Jesus is not in control of life and death, God however is in control of everything, including life and death:


And they have taken besides Him gods, who do not create anything while they are themselves created, and they control not for themselves any harm or profit, <span>and they control not death nor life, nor raising (the dead) to life</span>. S. 25:3 Shakir


This verse is from the Noble Quran, I guess this sums it all up doesn’t it?

Hivi vitu unahangaika kupost wala sivisomi, mimi nilikua najibu popote umetumia ushoga.
Haya mengine ya kuleta ligi za baina ya Mungu wangu na wa kwenu wala sipotezi muda maana haya ni mambo ya kiimani, huna namna ya kudhihirisha kwa wanajukwaa hapa kuhusu uwepo wa huyo 'mungu' wako.

Huwa mna ujinga sana wa kuua watu kisa mungu wenu huyo katili na ukihojiwa udhihirishe uwepo wake hapa, huna chochote cha kusema.
 
hiyo siku mbele ya muumba aliekuumba utamwambia sikua na dini
Hakuna binadamu yeyote anayejua siri ya mwisho wa binadamu, kwa sababu hakuna aliyekufa akaleta mrejesho; haya tunayodanganyana hapa duniani ni mtu kujiwekea mazingira ya kupata pesa (ajira) tu.
Swali, kuku unayemla au samaki unayemla, roho yake inaenda wapi?​
 
Hakuna binadamu yeyote anayejua siri ya mwisho wa binadamu, kwa sababu hakuna aliyekufa akaleta mrejesho; haya tunayodanganyana hapa duniani ni mtu kujiwekea mazingira ya kupata pesa (ajira) tu.
Swali, kuku unayemla au samaki unayemla, roho yake inaenda wapi?​
ikiwa unataka mrejesho mulisema yesu kafa kisha kafufuka basi msubirie atakuletea mrejesho atakaporudi
 
Makafir hata enzi za Mtume walikuwepo lkn haikuzuia uislamu kufika hadi Ulaya na Africa. Kama wewe ni mkiristo jitahidi sana ukifa ufe ukiwa muislam vyenginevyo utajuta kwanini ulibaki ktk ukiristo wako
Mkuu mbona unatisha watu kama vile ulishaawahi onja kifo?
 
Biblia ilianza ikaja Quran.
Yesu na Issa ni watu wawili tofauti kwahiyo usilazimishe Issa ndiyo Yesu.
1. Yesu kristo alizaliwa chini ya zizi la ng'ombe ila Issa alizaliwa chini ya mtende
2. Yesu kristo alibatizwa ila Issa hakubatizwa
3. Yesu kristo alikula Pasaka ila Issa hakula
4. Yesu kristo alitoa mapepo na majini, ndiyo maana wakristo hutoa pepo au kushinda nguvu za giza kwa kutumia jina la Yesu kristo ila Issa hakuweza
5. Yesu kristo alisoma Isaya kitabu ambacho kipo kwenye Biblia takatifu ila Issa alisoma Quran

Isaya 61
1 Roho ya Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu Bwana amenitia mafuta niwahubiri wanyenyekevu habari njema; amenituma ili kuwaganga waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari za kufunguliwa kwao.

6. Yesu kristo alisurubiwa, akafufuka, akazikwa na siku ya tatu akafufuka ila Issa hakusurubiwa wala hakufa.
Soma Biblia Takatifu Mathayo, Yohana na Luka kuna habari za Yesu kisha soma Quran yako kuhusu Issa ndiyo utajua hawa ni watu tofauti.
Yesu kristo ambaye sisi wakristo tunamuabudu hana dini wala hakuleta dini bali alikuja kuwahubiri watu habari njema, waache dhambi na kutenda mema kwa kufuata amri 10 za Mungu


Tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana.

Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu kama ulivyotaka tumtofautishe.

Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).


Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia.

Na kama Wakristo mnang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi mjuwe kwamba Biblia inasema:

“Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).

Enyi ndugu Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha
wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu.

Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnategemea nini?

Karibuni katika dini ya uislamu inayomtukuza Bwana Yesu
 
Mkuu mbona unatisha watu kama vile ulishaawahi onja kifo?

Hatishi ni Biblia ndio imetisha zamani mbona ilishaandikwa

Mathayo 18

8 Ikiwa mkono wako au mguu wako unakusababisha utende dhambi, ukate, uutupilie mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima wa milele ukiwa na mkono mmoja au mguu mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili na miguu miwili lakini ukatupwa katika moto wa milele.

9 Na kama jicho lako lina kusababisha utende dhambi ling’oe, ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kuingia katika uzima ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili lakini ukatupwa katika moto wa Jehena.

KUNA MKRISTO ANAFUATA USHARI HUU WA BWANA YESU ??

UNAFIKI MTUPU
 
Tunashangaa sana wakati tunaposoma Biblia, tunaona Biblia inamfedhehesha Yesu Kristo vibaya sana.

Licha ya kuwa Mtume wa Mungu sawa na Biblia, Bwana Yesu haonekani hata mtu mwenye ukoo safi, bali tunalazimika kumtafautisha Isa a.s. na Yesu kama ulivyotaka tumtofautishe.

Biblia inasema kwamba:

1. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi mwana wa Ibrahim. (Mathayo 1:1).

2. Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu. (Mathayo1:5) Rahabu alikuwa kahaba (Yoshua 2:1).

3. Yuda alimzaa Peresi na Zera kwa Tamari (Mathayo 1:3). Tamari alikuwa kahaba na mzinifu. (Mwanzo 38:13-18).

4. Daudi alimzaa Sulemani kwa yule mke wa URIA (Mathayo 1:6). Beth Sheba mkewe URIA alipata mimba ya zinaa. (2 Samuel 11:2-5).


Hawa mabibi wote wa Yesu Kristo walikuwa makahaba na wazinifu. Lakini sisi hatukubaliani na Biblia bali tunaona kwamba ni taka taka zilizoongezwa katika Biblia.

Na kama Wakristo mnang’ang’ania usahihi wa Biblia, basi mjuwe kwamba Biblia inasema:

“Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana. (Kumb. la Torati 23:2).

Enyi ndugu Wakristo! Kama mnaona kwamba Biblia bado ni sahihi basi mjue kwamba Yesu ni kizazi cha
wazinifu, hawezi kuingia katika mkutano wa Mungu.

Kama hawezi hata kuingia katika mkutano wa Mungu, ninyi mnategemea nini?

Karibuni katika dini ya uislamu inayomtukuza Bwana Yesu
Yesu kristo siyo Issa. Hawa ni watu wawili tofauti.
Hicho ulichoandika kinashinda hichi?
1. Muhamad alioa binti wa miaka 9 kwa sheria ya sasa ni mbakaji alitakiwa afungwe miaka 30 jela na viboko juu
2. Muhamad hajui kusoma na kuandika, mtu ambaye hajui kusoma na kuandika atanifundishaje ambaye ninajua kusoma na kuandika?
3. Kasome kwenye Quran adhabu ya maiti anayoipata kwenye kaburi😁😁😁😁😁. Inachekesha sana
4. Dini ya uislamu inafungamana na majini
5. Hii ndiyo iliponifanya nione dini ya uislamu ni uongo mtupu. Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.
 
Back
Top Bottom