As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,526
Nasikia hiyo siku kuu imeahirishwa, mpaka hapo itakapotangazwa!Kwa hiyo kesho idd au, tuambizane kabisa maake wengine tushachoka kwenda kazin.
Nawatakia Bakwata sikukuu njema!Asalam Alaykum warahamatullah wabarakatuh kwa wale ndugu zetu ambao wanafuata muandamo wa Kimataifa siku ya kesho InshaAllah tutaswali Eid El Fitr
Hii ni kutokana na kutangazwa kwa muonekano wa mwezi nchini Saudia Arabia vile vile Uturuki na United Arab Emirates nao wametangaza kuwa kesho Siku ya Jumanne Tarehe 4/6/2019 watasherekea sikuku ya Idd
Tutaendelea kuleta update za nchi nyingine zitakazo swali keshoView attachment 1116669View attachment 1116670
Mkuu Hamna anaye kuchanganya labda unajichanganya mwenyeweMbona mnachanganyana?...
Tukutane viwanjanInshalaaahh
Sanabu ni utofauti wa Muandamo wa mweziSasa siku yenyewe haieleweki, kila nchi kivyake!
Maana wengine wapo siku ya 28...wengine 29..Mkuu Hamna anaye kuchanganya labda unajichanganya mwenyewe
Kesho ni mapumziko mkuu ni Idd sio habari ya kubahatishaKwa hiyo kesho idd au, tuambizane kabisa maake wengine tushachoka kwenda kazin.
Bakwata JtanoNawatakia Bakwata sikukuu njema!
Atakaye kula idd kesho sawaa.
Atakaye kula kesho kutwa ni sawaaa.
FUNGENI KWA KUUONA MWEZI NA FUNGUENI KWA KUUONA MWEZI
IDD MUBAAAAARAK