Saudi Arabia, Uturuki, kuswali Iddi Jumanne Juni 4, 2019

As Salafiyyu91

JF-Expert Member
Jan 11, 2014
2,537
2,526
Asalam Alaykum warahamatullah wabarakatuh kwa wale ndugu zetu ambao wanafuata muandamo wa Kimataifa siku ya kesho InshaAllah tutaswali Eid El Fitr


Hii ni kutokana na kutangazwa kwa muonekano wa mwezi nchini Saudia Arabia vile vile Uturuki na United Arab Emirates nao wametangaza kuwa kesho Siku ya Jumanne Tarehe 4/6/2019 watasherekea sikuku ya Idd

Tutaendelea kuleta update za nchi nyingine zitakazo swali kesho
 
Nawatakia Bakwata sikukuu njema!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…