As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,526
- Thread starter
- #41
Bakwata wao itakuwa ni J5 au Alkhamis kulingana natangazo lao na Idd kitaifa itaswliwa TangaBakwata Wanasema Nini
Usiichonganishe Bakwata Na Wananchi
Bakwata wao itakuwa ni J5 au Alkhamis kulingana natangazo lao na Idd kitaifa itaswliwa TangaBakwata Wanasema Nini
Usiichonganishe Bakwata Na Wananchi
TAKABAR LLAHU MINNA WA MINKUMAtakaye kula idd kesho sawaa.
Atakaye kula kesho kutwa ni sawaaa.
FUNGENI KWA KUUONA MWEZI NA FUNGUENI KWA KUUONA MWEZI
IDD MUBAAAAARAK
iddi halali ni lesho.ila iddi ya bakwata waliweka bango j5 au alhamisiMueleweke basi lini IDD huku Bongo
Sema kweli mkuu nan kauthibitishaMwezi umeonekana Dodoma.
Mmhhh hii kama fiction flan hivMwezi unaonekana kwa vifaa sio kwa majicho tu
Wamalekani waliuona tangu January kupitia shirika lao LA NASA
Kesho aaubuhi ni mwendo wa Tende na Haluwa karibuWengine msubiri bakwata....
Ahsante,.nilipo hapa nasubiria muda nifungue....Kesho aaubuhi ni mwendo wa Tende na Haluwa karibu
Sema kweli mkuu nan kauthibitisha
Bakwata Idd yao ni J5 au AlkhamisBakwata wamesemaje nao
Kesho tunakula eid au hatuli
Pumuzika ww ndio uchochoro wenyewe huoKumbe umeonekana saudia nilidhani hapa kwetu.kesho kazi Kama kawa
Tatizo liko wapi ?Mbona unafuata mtume aliezaliwa Saudia.
Siku nyingi ktk viwanja vyote hivyo wamevitumia sio chini ya miaka 10 kwa kila kiwanjaJe, polisi wameruhusu?
Kula na kunywa keshoNafata waliouona. Naamini hawawezi kudanganya
DUNIA KIJIJI.
Takabarullahu Minna wa minkumEid Mubaraka
Tattizo liko wapi kuungana na Waislamu wenzio Duniani?Tatizo liko wapi ?
Takabarullahu Minna wa minkumEid Mubarak
Takabarullahu Minna wa MinkumEid Mubarak