Kuropoka bila elimu kunakuletea aibu wewe na wazee wako mkuu.
Nani alikwambia WAIRANI ni Waarabu?
Teh teh teh teh.
Wagalatia balaa tu.
Yaani Kila anaeishi nchi karibu na waarabu Basi na yeye Mwarabu.
Halafu mkiambiwa vichwa vyenu makamasi mnakuwa wakali na kutoa matusi.