Saudi Arabia: Mahujaji kutoka Qatar wazuiwa kuingia nchini humo kwaajili ya kuhiji Mecca

Wanataka kumfurahisha Trump.
Dunia inazidi kua sehemu ya ajabu sana, ndio maana wakati mwingine nasema Mapanki acha awe jeuri tu


Trump anahusika vipi hapo? Nchi za Guba ni watoto wadogo kiasi kwamba wanaweza kudanganywa na peremende? Saudi Arabia inaongozwa na watu wanaofikiri kwa kutumia miguu na kutembelea vichwa hadi Trump aweze kuwayumbisha? Kwa nini Mara nyingi tunaacha ku-address matatizo yetu sawa sawa na badala yake tunachora visingizio vya mbali na chanzo cha tatizo?
 
Na wewe una matatizo; kwani Shia hawaruhusiwi kuhiji maeneo hayo? Mbona mnapenda sana utengano hata ninyi kwa ninyi?
Shia sio waislam ni makundi kama yalivyo makundi mengine ya catholic, Protestant au Anglicana lakini wao si katika waislam, turudi kwenye mada mkuu
 
Trump anahusika vipi hapo? Nchi za Guba ni watoto wadogo kiasi kwamba wanaweza kudanganywa na peremende? Saudi Arabia inaongozwa na watu wanaofikiri kwa kutumia miguu na kutembelea vichwa hadi Trump aweze kuwayumbisha? Kwa nini Mara nyingi tunaacha ku-address matatizo yetu sawa sawa na badala yake tunachora visingizio vya mbali na chanzo cha tatizo?
Kama huwezi kuunganisha dots endelea na mishe mishe za kusaka pesa maana maisha yanazidi kua ghali
 
Yaani Saudia amejipa mamlaka ya kuzuia watu kutekeleza ibada ambayo ni ya lazima kwa waislam? Ufalme uliofitinika
Mleta mada mmoja alikuja kuweka post na kusema kuwa wasaudi nio magaidi wenyewe. Watu walimkandia sana na kuzani ameongea udini kuwa ana chuki na waislam saudia. Lakini aliongea ukweli mtupu. lile vuguvugu la arab spring lilikuwa lifike kwa kishindo saudi. kuna kipindi kulikuwa na hilo vuguvugu katika miji yenye mashia, wasaudi wakawakandamiza na hakuna cha USA wala nani aliewapa sapoti waanzishaji wa vuguvugu.

Kuna haja waislam wa dunia nzima kuungana na kuwabatilisha wasaudi kuwa wasimamizi wa msikiti huo. Wanakosesha watu ibada kwa sababu ya siasa, Hakika kuna moto wameandaliwa wafalme wa saudi na wale wote wanaowasapoti. Wa qatar si mara yao ya kwanza kwenda kuhiji, na hakuna ugaidi wowote walioufanya. Hivi ni visingizio tu.
 
Waafrica na Waarabu ndio viumbe vilivyosalia kwenye USO wa dunia vikitumia oksijeni ya Bure na kuongeza hewa ya ukaa angani kwa kupumua na kujamba jamba hovyo carbon dioxide ...


Hawa watu wawili inabidi mungu atuangalie kwa jicho la tatu otherwise ataendelea kutiwa aibu na hawa hawa viumbe


Tupo mwezi mtukufu halafu yanafanywa mambo ya hovyo
 
Tatizo liko kwenye msingi Wa mafundisho msingi(dogma). Ni kama nyumba ukisha-set msingi Wa hovyo unashangaa nini kuona huko juu kwenye kuta na paa pamepinda pinda? Juzi hapa watu walishangilia kule Zanzibar, SMZ kuwa "nyapara" Wa "protokali" za Ramadan.Sasa leo munalaumu nini Serikali ya Saudia kuwapiga ban Qataris kuingia kwao? Hao Wa-qatar ni makafiri tu na Kafir anaruhusiwa vipi kuingia Mecca?
Hiyo ya Zanzibar ni point muhimu sana Kiongozi. Hii tabia ya serikali kujihusisha na dini ni hatari sana sana. Haikuwa sahihi kwa Serikali kule Zanzibara kujtwisha jukumu la kuelekeza namna Mfungo unavyotakiwa kuwa na adhabu kwa watakaokiuka masharti au utaratibu. Ni kosa kubwa sana hili walifanya. Kila mtu atimize wajibu wa imani yake bila kuingiliwa au kusimamiwa na serikali.
 
Saudia ni kibaraka wa marekani, kama wanawaruhusu makafiri wa kishia kwenda kuhiji alafu wanawakataza ndugu zao wa Qatar kisa tu wanaunga mkono makundi ya kigaidi ni upotofu uliomkubwa sana na watakuwa na dhima ya kujibu mbele za Allah. Hii ni dini na sio siasa

Kumbe Shia ni makafir?
 
That is absolutely wrong! Kwani mahujaji wanaenda hijja kwa fadhila za Saudia au ni kwa maamrisho ya Mwenyezi Mungu? Maeneo ya hijja kuwemo Saudia isiwe sababu ya nchi husika kuyageuza siasa; yanatakiwa yabaki kuwa ya kidini - nje kabisa ya siasa.

Ila kama kuna mahujaji wataenda huko "kisiasa" ndio wadhibitiwe na sio kukataza wote hata wasiojua "hili wala lile". Serikalini huko mkikosana mimi mwananchi wa kawaida imani yangu inahusikaje? Wanapaswa kulitafakari hili upya otherwise litaleta mgogoro mkubwa siku za usoni na Western wakiingilia italeta tatizo juu ya tatizo - makafir!

Kwani wewe unafikiria Wasaudi hawaujui huo ukweli kuwa Hija ni znguzo ya Uislamu? Nadhani wao wanajua vizuri zaidi kuliko wewe,mimi na Wa-qataris.Wao ndio walijenga huo Msikiti Mtakatifu na ni wao walioanzisha taratibu za Hija.Ni wao kila mwaka wanaweka taratibu za Hija na hatulalamiki.Iweje leo waweke Ban halafu tuwaone hawafai?
 
Kwani wewe unafikiria Wasaudi hawaujui huo ukweli kuwa Hija ni znguzo ya Uislamu? Nadhani wao wanajua vizuri zaidi kuliko wewe,mimi na Wa-qataris.Wao ndio walijenga huo Msikiti Mtakatifu na ni wao walioanzisha taratibu za Hija.Ni wao kila mwaka wanaweka taratibu za Hija na hatulalamiki.Iweje leo waweke Ban halafu tuwaone hawafai?
Kama nimekusoma unamaanisha hijja ni mali ya Saudia and they have the right to decide who can practice it and who cannot. Kama ndivyo, mbona ni hatari; maana dini ni ya Mwenyezi Mungu sio ya kikundi fulani cha watu.
 
Hii tayari ishakuwa tatizo.. Yaani Waarabu tunagonganishwa vichwa kirahisi namna hii, kutaka kumfurahisha Amerika na washirika wake?

Kuna tatizo mahala, si kawaida hii
Kila kitu KINASEMWAGWA CHANZO CHAKE NI NJE YA NYIE.....
 
Back
Top Bottom