Satellite ya China yapata pigo

Satellite ya China yapata pigo

osib

Senior Member
Joined
Jan 19, 2017
Posts
108
Reaction score
246
Sateliti ya China yaanguka
Ni baada ya hatua ya kwanza na ya pili ya urushaji kufanikiwa
24.05.2019 ~ 24.05.2019
Zoezi la kurusha sateliti ya China iitwayo " Yaogan-33 " lafanyika bila mafanikio.
Kwa mujibu wa habari zilizoripotiwa na shirika la habari la Shinhua. Zoezi la kuirusha Sateliti ya Yaogan-33 lilifanyika katika kituo cha anga cha Taiyuen kilichopo jimbo la CangChi .Sateliti hiyo ilirushwa kwa kutumia roketi ya Long March-4C.
Imefahamishwa kwamba, baada ya kurushwa hatua ya kwanza na y a pili zilipita bila mushkeli, ama katika hatua ya tatu ndipo matatizo yalipotokea.
Urushaji huo uliomalizika bila mafanikio uliishia kwa sateliti na mabaki ya roketi kuanguka na kujibamiza ardhini.
Huku uchunguzi ukiwa umeanza kufanywa kuhusu zoezi hilo, habari za kuhusu wapi hasa mabaki ya sateliti hiyo yameangukia hazijatolewa.
Ifikapo mwaka 2045 China inataka kuwa kiongozi katika maeneo ya sateliti za umbuzi wa anga za mbali, ucunguzi katika sayari ya Mars, Jupita, uchunguzi katika mwezi, sateliti kwa ajili ya anwani za kiulimwengu na kujenga kituo cha kudumu cha anga katika orbit.
Tagi: Yaogan 3 , China

Kwa msaada wa mtandao
 
Satellites Ku fail sio kwa China tu nchi zote unazozifahamu wewe ambazo zina technology za makombora(missiles) na Satellites kuangua ni kawaida sana sababu ni nyingi zikiwemo Engine kufail,Mifumo ya computer Ku fail au Ku fail kwenye separation Nchi ambazo zimefail Mara moja au zaidi
1.US
2.Russia
3.China
4.Europe
5.Japan
6.South Korea
7.North Korea
8.Iran
9.Israel
10.Nk Nk Nk
 
Satellites Ku fail sio kwa China tu nchi zote unazozifahamu wewe ambazo zina technology za makombora(missiles) na Satellites kuangua ni kawaida sana sababu ni nyingi zikiwemo Engine kufail,Mifumo ya computer Ku fail au Ku fail kwenye separation Nchi ambazo zimefail Mara moja au zaidi
1.US
2.Russia
3.China
4.Europe
5.Japan
6.South Korea
7.North Korea
8.Iran
9.Israel
10.Nk Nk Nk
Tatizo mitandao imevamiwa na mbumbumbu wengi.
 
Satellites Ku fail sio kwa China tu nchi zote unazozifahamu wewe ambazo zina technology za makombora(missiles) na Satellites kuangua ni kawaida sana sababu ni nyingi zikiwemo Engine kufail,Mifumo ya computer Ku fail au Ku fail kwenye separation Nchi ambazo zimefail Mara moja au zaidi
1.US
2.Russia
3.China
4.Europe
5.Japan
6.South Korea
7.North Korea
8.Iran
9.Israel
10.Nk Nk Nk
fact nimeilewa
 
Satellites Ku fail sio kwa China tu nchi zote unazozifahamu wewe ambazo zina technology za makombora(missiles) na Satellites kuangua ni kawaida sana sababu ni nyingi zikiwemo Engine kufail,Mifumo ya computer Ku fail au Ku fail kwenye separation Nchi ambazo zimefail Mara moja au zaidi
1.US
2.Russia
3.China
4.Europe
5.Japan
6.South Korea
7.North Korea
8.Iran
9.Israel
10.Nk Nk Nk
Fact mkuu
 
Kumekucha
Satellites Ku fail sio kwa China tu nchi zote unazozifahamu wewe ambazo zina technology za makombora(missiles) na Satellites kuangua ni kawaida sana sababu ni nyingi zikiwemo Engine kufail,Mifumo ya computer Ku fail au Ku fail kwenye separation Nchi ambazo zimefail Mara moja au zaidi
1.US
2.Russia
3.China
4.Europe
5.Japan
6.South Korea
7.North Korea
8.Iran
9.Israel
10.Nk Nk Nk
 
Ngoja niwatoe umbumbumbu nyie team USA








 
Satellites Ku fail sio kwa China tu nchi zote unazozifahamu wewe ambazo zina technology za makombora(missiles) na Satellites kuangua ni kawaida sana sababu ni nyingi zikiwemo Engine kufail,Mifumo ya computer Ku fail au Ku fail kwenye separation Nchi ambazo zimefail Mara moja au zaidi
1.US
2.Russia
3.China
4.Europe
5.Japan
6.South Korea
7.North Korea
8.Iran
9.Israel
10.Nk Nk Nk
Tanzania je,,
 
Satellites Ku fail sio kwa China tu nchi zote unazozifahamu wewe ambazo zina technology za makombora(missiles) na Satellites kuangua ni kawaida sana sababu ni nyingi zikiwemo Engine kufail,Mifumo ya computer Ku fail au Ku fail kwenye separation Nchi ambazo zimefail Mara moja au zaidi
1.US
2.Russia
3.China
4.Europe
5.Japan
6.South Korea
7.North Korea
8.Iran
9.Israel
10.Nk Nk Nk
Tanzania je,,
 
Back
Top Bottom