Leo hii wanawake hawambiliki katika kutafuta pesa.......hadi wamefikia hatua hawahitaji tena msaada wa mwanaume..........ni kweli kuna sababu zinapelekea wanawake wasiwe na haja ya wanaume......lakini jambo la kufahamu hapa ni kuwa wapo ambao hawahitaji kwakuwa ni wahanga wa manyanyaso mbali mbali ambayo kiukweli wanayohaki ya kutohitaji mahusiano tena......ila nazungumzia hawa wa kucopy na kupest experience za watu na kuhisi nao ni wahanga watarajiwa.........utawajua kwa kupata watoto wasio na baba.......kuropoka kauli hasi kama "wanaume hakuna siku hizi","Single mothers ndio mpango wa mjini"...na nyinginezo zenye kuashiria kuwa hawana hajaau hawaoni umuhimu wa kuanzisha familia ya baba mama na watoto.......