BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
weekend na vijambo...
watu wanacheza kila DJ anaoachia hewani...
nyimbo zingine hazileti maana ukicheza mvulana...kwa mfano rihana anaimba "if i were a boy"...mnisamehe sauti yangu mbaya...haya ww kidume unajidai unau-feeeel wimbo...unashika na kifua kabisa...
nyambafuu...
niko Q bar karibuni!
watu wanacheza kila DJ anaoachia hewani...
nyimbo zingine hazileti maana ukicheza mvulana...kwa mfano rihana anaimba "if i were a boy"...mnisamehe sauti yangu mbaya...haya ww kidume unajidai unau-feeeel wimbo...unashika na kifua kabisa...
nyambafuu...
niko Q bar karibuni!