sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
Wakati mkijilisha pepo na matanuzi wenzenu wanatanuliwa na dhiki.je mnawawakilisha wao au matumbo yenu?.Kwani tulipowachagua tuliwaambia mwende kusimama?Mbona wafanyakazi wengine tena wa haja,hawalipwi hiyo mishiko ya makalio?Mbona wakina steve Wahasira wanauchapa usingizi kwenye mjengo hamuwapi mshiko wa usingizi?.Kesho mtakuja na usanii mwingine wa kutaka posho za kulala au sleeping allowances.Na hapo bado posho za kupayuka au shouting allowances.