Sasa ni rasmi CCM si Chama Cha Siasa tena

Sasa ni rasmi CCM si Chama Cha Siasa tena

Alexism

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2011
Posts
3,423
Reaction score
2,046
Leo nimejiuliza mambo maswali mengi kuhusu ili. Nimejiuliza tena kua kweli watanzania asa wasomi,wanasheria na wana harakati kua bado wanatuaminisha kua CCM ni Chama cha Siasa?
Msajiri wa vyama vya Siasa bila shaka yeye si mtu wa kusimamia haki na utawala wa sheria. Kuna matokeo mengi tumeyaona sana,vyombo vya ulinzi asa polisi na jeshi vikishiriki bila woga harakati za Siasa za CCM. Hii ni kinyume na katiba yetu ibara ya 147(3) pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2001. Lakini pia sheria ya vyama vya siasa nchini imekataza vyombo vya usalama kumika na chama pia chama cha Siasa kutumia vyombo vya ulinzi.
Yote yametokea bila kukemea . Apa ndo tumefikia ..sasa iweje CCM ibaki kama chama cha Siasa nasi jeshi ?
 
Leo nimejiuliza mambo maswali mengi kuhusu ili. Nimejiuliza tena kua kweli watanzania asa wasomi,wanasheria na wana harakati kua bado wanatuaminisha kua CCM ni Chama cha Siasa?
Msajiri wa vyama vya Siasa bila shaka yeye si mtu wa kusimamia haki na utawala wa sheria. Kuna matokeo mengi tumeyaona sana,vyombo vya ulinzi asa polisi na jeshi vikishiriki bila woga harakati za Siasa za CCM. Hii ni kinyume na katiba yetu ibara ya 147(3) pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2001. Lakini pia sheria ya vyama vya siasa nchini imekataza vyombo vya usalama kumika na chama pia chama cha Siasa kutumia vyombo vya ulinzi.
Yote yametokea bila kukemea . Apa ndo tumefikia ..sasa iweje CCM ibaki kama chama cha Siasa nasi jeshi ?
inabidi wapinzani nao waachane na vyama waanzishe movements tu.
na hivi wanaoitwa "mabeberu" walivyotibuliwa na wakolomije mbona patachimbika?
 
inabidi wapinzani nao waachane na vyama waanzishe movements tu.
na hivi wanaoitwa "mabeberu" walivyotibuliwa na wakolomije mbona patachimbika?
WAPINZANI HAPA NCHINI WAENDELEE KUJITATHIMINI SANA ILA KWA HARAKATI ZAO NI BADO SANA.
 
Leo nimejiuliza mambo maswali mengi kuhusu ili. Nimejiuliza tena kua kweli watanzania asa wasomi,wanasheria na wana harakati kua bado wanatuaminisha kua CCM ni Chama cha Siasa?
Msajiri wa vyama vya Siasa bila shaka yeye si mtu wa kusimamia haki na utawala wa sheria. Kuna matokeo mengi tumeyaona sana,vyombo vya ulinzi asa polisi na jeshi vikishiriki bila woga harakati za Siasa za CCM. Hii ni kinyume na katiba yetu ibara ya 147(3) pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2001. Lakini pia sheria ya vyama vya siasa nchini imekataza vyombo vya usalama kumika na chama pia chama cha Siasa kutumia vyombo vya ulinzi.
Yote yametokea bila kukemea . Apa ndo tumefikia ..sasa iweje CCM ibaki kama chama cha Siasa nasi jeshi ?
Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba !
 
CHAMA CHA MAPINDUZI alias CCM NI CHAMA CHA SIASA NA SI VINGINEVYO.

Ccm sio chama cha siasa bali ni taasisi ya kidola iliyojivika koti la chama cha siasa. Ushahidi wa hilo ni siku Magufuli alivyopokea wanaccm kwenye kamisheni ya jeshi huko Arusha mbele ya CDF.
 
Kuweka kumbukumbu sahihi,naomba mwenye kujua anisaidie waliokuwa Wasajili wa vyama vya siasa tokea vilivyo anza,
Wenye viti wa Tume ya uchaguzi tokea kura ya vyama vyingi ilivyo anza na kwa sasa wako wapi
 
C
Leo nimejiuliza mambo maswali mengi kuhusu ili. Nimejiuliza tena kua kweli watanzania asa wasomi,wanasheria na wana harakati kua bado wanatuaminisha kua CCM ni Chama cha Siasa?
Msajiri wa vyama vya Siasa bila shaka yeye si mtu wa kusimamia haki na utawala wa sheria. Kuna matokeo mengi tumeyaona sana,vyombo vya ulinzi asa polisi na jeshi vikishiriki bila woga harakati za Siasa za CCM. Hii ni kinyume na katiba yetu ibara ya 147(3) pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2001. Lakini pia sheria ya vyama vya siasa nchini imekataza vyombo vya usalama kumika na chama pia chama cha Siasa kutumia vyombo vya ulinzi.
Yote yametokea bila kukemea . Apa ndo tumefikia ..sasa iweje CCM ibaki kama chama cha Siasa nasi jeshi ?
Cjui kina dead lini duuu
 
Ya Arusha nayo yametuonyesha ukweli kwamba CCM si Chama Cha Siasa ..bali ni jeshi . Hii ni kinyume na Katiba yetu...alafu anatokea sijui Mwl.Bashiri na Pole Pole wanatapika ujinga
 
Leo nimejiuliza mambo maswali mengi kuhusu ili. Nimejiuliza tena kua (kuwa) kweli watanzania asa (hasa) wasomi,wanasheria na wana harakati (wanaharakati) kua (kuwa) bado wanatuaminisha kua (kuwa) CCM ni Chama cha Siasa?
Msajiri (msajili) wa vyama vya Siasa bila shaka yeye si mtu wa kusimamia haki na utawala wa sheria. Kuna matokeo mengi tumeyaona sana,vyombo vya ulinzi asa (hasa) polisi na jeshi vikishiriki bila woga harakati za Siasa za CCM. Hii ni kinyume na katiba yetu ibara ya 147(3) pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2001. Lakini pia sheria ya vyama vya siasa nchini imekataza vyombo vya usalama kumika (kutumika) na chama pia chama cha Siasa kutumia vyombo vya ulinzi.
Yote yametokea bila kukemea . Apa (hapa) ndo (ndiyo) tumefikia ..sasa iweje CCM ibaki kama chama cha Siasa nasi (nasi ndiyo nini??) jeshi ?

Please ensure that you edit your article before posting. Nadhani nimeeleweka. Ni hayo tu kwa leo. Ahsante sana.
 
Back
Top Bottom