1.kitendo cha rais kikwete kuomba msaa polisi kudhibiti mikutano ya chadema(dhaifu)
2.katibu wa bunge kutaka bunge lisioneshwe live ni kuficha wananchi wasione upuuzi wa
watendaji wengi wa ccm(fikra finyu)
3.nape eti wananchi wanakuwa makazini hawalioni bunge.
Haya na mengine mengi yanaonesha jinsi ccm ilivyoshindwa kuwatumia mamluki wao kuidhooficha chadema sasa wanatumia ubabe.taarifa za kiundani zinasema chadema na wao wameanza mbinu ya kutuma watu kwa mgongo wa ccm ili kubaini njama zao kwa hili ccm mtajutia r.i.p ccm2015
2.katibu wa bunge kutaka bunge lisioneshwe live ni kuficha wananchi wasione upuuzi wa
watendaji wengi wa ccm(fikra finyu)
3.nape eti wananchi wanakuwa makazini hawalioni bunge.
Haya na mengine mengi yanaonesha jinsi ccm ilivyoshindwa kuwatumia mamluki wao kuidhooficha chadema sasa wanatumia ubabe.taarifa za kiundani zinasema chadema na wao wameanza mbinu ya kutuma watu kwa mgongo wa ccm ili kubaini njama zao kwa hili ccm mtajutia r.i.p ccm2015