Sasa mtindo ndio huu

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499
Kutokana na kutokea vulugu za kuchana picha za mgombea wa chadema kupitia ukawa popote Inapoonekana zimebandikwa na kupigwa marufuku uwekaji wa picha hizo katika mabango makubwa
Vijana kadhaa wamebuni njia ya nyingine , kama camera yangu ilivyomnasa kijana huyu katikati ya jiji la dar
 
Na kwa nini picha za wagombea zichanwe?! Hili halijakaa vema hata. Uhuru wa kujinadi ni kwa wote!
 
= kufikiri
wewe ajuza wa kimatumbi unaboa sana nenda zako huko ukapalilie magugu kwenye shamba lako mihogo hapo mukuranga ama urudi Canada ukajumuike na kucheza na wajukuu na vtukuu zako kuliko kuhororoja jamvin. I HATE YOUUUUU::mad2:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…