chiembe JF-Expert Member May 16, 2015 12,002 20,662 Apr 19, 2019 #1 Kwa hali ilivyo,ukipita Ccm,umepata ulaji,sasa tunajiandaa kupambana ndani ya chama!
chiembe JF-Expert Member May 16, 2015 12,002 20,662 Apr 19, 2019 Thread starter #3 ArchAngel said: Ccm magufuli vs ccm washwawashwa Click to expand... Eeeehhh
Tukundane JF-Expert Member Apr 17, 2012 11,455 8,248 Apr 19, 2019 #4 Hapo ndipo Ndugai hatarudia kosa tena la kumzimisha mwanaccm mwenzake kwa nusu kaputi ya bakora, safari hii ataua kabisa watu wafunike bendera ya kijani kwenye jeneza.
Hapo ndipo Ndugai hatarudia kosa tena la kumzimisha mwanaccm mwenzake kwa nusu kaputi ya bakora, safari hii ataua kabisa watu wafunike bendera ya kijani kwenye jeneza.