Sasa baiskeli na pikipiki kutozwa kodi

NEW NOEL

JF-Expert Member
May 21, 2011
863
407
Hiyo ni kwa mujibu wa TRA. Sasa katika bunge la bajeti Waziri wa Fedha alisema amewaondolea kodi waendesha pikipiki. Matokeo yake hata Baiskeli wanapaswa kulipa kodi. Kinachonishangaza ni suala la kutoza kodi ya fire hata kwa baiskeli. Sasa sijui kama baiskeli nayo ni chombo cha moto?
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1376654143288.jpg
    89.9 KB · Views: 154
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…