Sawa umenena vyema,
Lakini umesahau kuwa Neno la Mungu ni lile lile, halibadiliki.
Anyway sipo kudiscourage ibada, ibada ni Kila siku, na ni vyema kukusanyika kumwabudu Mungu Kila siku,
Ninachopinga ni kuingizwa mapokeo kinyemela na kuyawekea utaratibu.