Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,060
- 43,477
nakumbuka kulikua na thread kama hii nimeitafuta sijaipata, kama ipo mods mtaziunganisha.
muda mrefu nimekuwa nikitafuta madukani vifaa vya computer ambavyo mtu ataweza mwenyewe kutengeneza computer inayokidhi mahitaji yake. vifaa hivyo ni kama
-processor(cpu)
-ram
-graphic processor (gpu)
-hard disk
-motherboard
-power supply
-case
ram, hdd na power supply ni rahisi na vinapatikana maduka mengi, kazi kubwa ikawa ni kupata cpu, case, gpu na motherboard.
watu wengi huwa integrated gpu inayokuja na cpu inatosha na case unaweza tumia hata za computer ya zamani hivyo challenge kubwa ikawa kwenye kupata cpu na motherboards.
baada ya kuhangaika sana nikapata duka la cpu ambalo jamaa alikua hadi na i7 4770 kwa dola 325 pamoja na pentium za g series kwa 50,000 tu. cpu hizi ni za haswell aka 4th generation ndio latest kwa sasa duniani.
motherboard nimetafuta sana nimekosa madukani. motherboard za haswell zinatakiwa ziwe na support ya lga 1150. ikiwa ni h81 itakuwa nzuri zaidi ila ikiwa h85 au z97 pia sio mbaya.
je kuna mtu yoyote aliekumbana na duka linalouza motherboard??
au kuna ambaye kafanikiwa kutengeneza pc kwa kununua vifaa hapa hapa tz?
muda mrefu nimekuwa nikitafuta madukani vifaa vya computer ambavyo mtu ataweza mwenyewe kutengeneza computer inayokidhi mahitaji yake. vifaa hivyo ni kama
-processor(cpu)
-ram
-graphic processor (gpu)
-hard disk
-motherboard
-power supply
-case
ram, hdd na power supply ni rahisi na vinapatikana maduka mengi, kazi kubwa ikawa ni kupata cpu, case, gpu na motherboard.
watu wengi huwa integrated gpu inayokuja na cpu inatosha na case unaweza tumia hata za computer ya zamani hivyo challenge kubwa ikawa kwenye kupata cpu na motherboards.
baada ya kuhangaika sana nikapata duka la cpu ambalo jamaa alikua hadi na i7 4770 kwa dola 325 pamoja na pentium za g series kwa 50,000 tu. cpu hizi ni za haswell aka 4th generation ndio latest kwa sasa duniani.
motherboard nimetafuta sana nimekosa madukani. motherboard za haswell zinatakiwa ziwe na support ya lga 1150. ikiwa ni h81 itakuwa nzuri zaidi ila ikiwa h85 au z97 pia sio mbaya.
je kuna mtu yoyote aliekumbana na duka linalouza motherboard??
au kuna ambaye kafanikiwa kutengeneza pc kwa kununua vifaa hapa hapa tz?