San San Tv inch 32 mpya inauzwa

San San Tv inch 32 mpya inauzwa

lellobazcci

Member
Joined
Jun 12, 2015
Posts
52
Reaction score
3
Sansan TV inchi 32 mpya nilipewa zawadi naiuza inaingia flash, HDMI, unaweza kuitumia kama monitor ya computer kwa 530k... Kama unataka nicheki apa 0718033066
 

Attachments

  • 1434702229238.jpg
    1434702229238.jpg
    16.2 KB · Views: 406
Sansan TV inchi 32 mpya nilipewa zawadi naiuza inaingia flash, HDMI, unaweza kuitumia kama monitor ya computer kwa 530k... Kama unataka nicheki apa 0718033066


Duh mchina Bei hiyo na lg au Samsung auze ngapi?
 
Uyo sio mchina joh and i can even giv u garantee nenda kaulizie lg ama iyo samsung dukan sh ngap af ndo u jugde lusungo
 
Last edited by a moderator:
Uyo sio mchina joh and i can even giv u garantee nenda kaulizie lg ama iyo samsung dukan sh ngap af ndo u jugde lusungo


lg na Samsung hiyo ndo Bei yake huo mchina uza laki 2 mkuu
 
Last edited by a moderator:
Humu JF watu mnapenda sana vya bure. Mtu akitangaza anauza kitu chake basi watu ndo mnaona ni sehemu ya kumkandamiza pasipo kuzingatia uthamani wa kitu halisi. Tubadilike jamani!
 
Humu JF watu mnapenda sana vya bure. Mtu akitangaza anauza kitu chake basi watu ndo mnaona ni sehemu ya kumkandamiza pasipo kuzingatia uthamani wa kitu halisi. Tubadilike jamani!

We una akili endelea kua na point ili unikute.
 
Msigombane post ya June,mwenyemali kaisha uza.
Sasa hivi anafikiria kuuza na kitanda,maana madeni hayamuishia.
Endelee kusubiri ili mjudge kama ni kitanda cha mchina au cha Tandale
 
Sansan TV inchi 32 mpya nilipewa zawadi naiuza inaingia flash, HDMI, unaweza kuitumia kama monitor ya computer kwa 530k... Kama unataka nicheki apa 0718033066

Samahani mkuu ni San lg au hivyo hivyo San san
 
Back
Top Bottom