Duuuh waungwana basi tusameheane dunia tunapitaKati ya watu ambao endapo hata wakiumwa vipi nitafurahi tu ni huyu
Huyu ni adui namba moja wa taifa letu
Aliongoza genge la majambazi wa nchi hii kuikataa katiba inayotokana na wananchi
Siku akifa wala sitalia....ikiwezekana nitamtupa ziwani awe chakula cha mamba
Mkuu naomba Mungu wasikuweke kwenye kamati ya mapokezi ya mwili wa marehemu.Kati ya watu ambao endapo hata wakiumwa vipi nitafurahi tu ni huyu
Huyu ni adui namba moja wa taifa letu
Aliongoza genge la majambazi wa nchi hii kuikataa katiba inayotokana na wananchi
Siku akifa wala sitalia....ikiwezekana nitamtupa ziwani awe chakula cha mamba
Mimi nipo kwenye kamati ya mazishi.Mkuu naomba Mungu wasikuweke kwenye kamati ya mapokezi ya mwili wa marehemu.
Wakuu habari hii imeandikwa na gazeti la Tanzania Daimaa, Aliyekuwa spika wa bunge la 9 Ndugu Samweli sitta ni mgonjwaa mpaka kutoweza kutembeaa. Mke wake adai anaendelea vizuri.
.
Bado naendelea kulisoma nilete habari kamili
My take..
Sijui kama serikali inalijua hilii
Na nina hakika kuanzia kesho au leo tutaanza kuona misafara ya viongozi kumtembeleaa kwa unafiki uliotukukaa
=======