Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,172
- 162,619
Habari wadau,
Jumapili hii tarehe 16/11/2014, kuanzia saa 4:30 asubuhi,aliekuwa Mwenyekiti wa Bunge la katiba ambae pia ni Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki na mbunge wa Urambo,bwana Samweli Sitta,atakuwa live star tv katika kipindi cha Medani za Siasa na Uchumi kinachorushwa na kituo hicho.
Na katika kuonyesha kuwa hajutii kitendo alichokifanya katika usimamizi wake wa kuandika katiba mpya,bwana Sitta anasikika akisema,na hapa namnukuu, "kila siku najisikia wiwa kuikamilisha kazi ile kwa uaminifu".
Hiyo na moja ya kauli zake iliyorekodiwa na inayotumika katika kukitangaza kipindi hicho cha Jumapili.
Ni nafasi nyingine ya kupima kauli,mtazamo na uwezo wa kiongozi huyu mwenye utata mkubwa.
Stay tuned.
Jumapili hii tarehe 16/11/2014, kuanzia saa 4:30 asubuhi,aliekuwa Mwenyekiti wa Bunge la katiba ambae pia ni Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki na mbunge wa Urambo,bwana Samweli Sitta,atakuwa live star tv katika kipindi cha Medani za Siasa na Uchumi kinachorushwa na kituo hicho.
Na katika kuonyesha kuwa hajutii kitendo alichokifanya katika usimamizi wake wa kuandika katiba mpya,bwana Sitta anasikika akisema,na hapa namnukuu, "kila siku najisikia wiwa kuikamilisha kazi ile kwa uaminifu".
Hiyo na moja ya kauli zake iliyorekodiwa na inayotumika katika kukitangaza kipindi hicho cha Jumapili.
Ni nafasi nyingine ya kupima kauli,mtazamo na uwezo wa kiongozi huyu mwenye utata mkubwa.
Stay tuned.