Samwel Sitta,weka hadharani Ripoti halisi ya Richmond

Samwel Sitta,weka hadharani Ripoti halisi ya Richmond

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Jana,Saed Kubenea wa CHADEMA ametoa tuhuma nzito juu ya Samwel Sitta aliyekuwa Spika wa Bunge la tisa la Tanzania. Kubenea amedai kuwa Mwenyekiti wa Kamati teule ya Bunge Dr. Harrison Mwakyembe alikuwa na Ripoti mbili juu ya Richmond.

Kubenea amesema kuwa Ripoti iliyosomwa na Mwakyembe haikuwa halisi. Halisi imefichwa na Samwel Sitta. Hiyo iliyofichwa ndiyo inayomtaja kinagaubaga mhusika mkuu wa Richmond scandal.Ikafichwa.

Kaka Samwel,tuwekee wazi Ripoti halisi tujionee.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
  • Thanks
Reactions: aye
Hata bila kuwahusisha six na mwakyembe. Lowasa keshasema mhusika na aliyeshiniz ni kikwete
 
haa haa sijui kama ataweza. ni sitta huyuhuyu aliyejenga ofisi ya spika wa bunge kwao urambo. pia ni sitta huhuyu aliyerithisha jimbo kwa mkewe mama magreth sitta ili agombee ubunge urambo kupitia ccm. sitta ana madhaifu mengi sana....
 
tatizo ni mfumo uliopo ndio maana wakipiga indicator ya kushoto wanakwenda kulia. Hata akishuka malaika kwa mfumo huu hatufiki. Lazima tuung'oe mfumo
 
Back
Top Bottom