Sitta ni mzalendo sana !
...Ana lengo jema la kuhakikisha katiba itapingwa kwa kuweka vipengele vya hovyo hovyo km vile urais miaka 14, ubunge hata std 7, hakuna serikali ya kusimamia mambo ya Tanganyika, mamlaka ya rais inaongezwa kuwa km ya kifalme, wananchi hawana mamlaka yoyote nk.
Ana lengo jema hamjagundua tu !