Samsung Smart TV 32-inch For Sale

Samsung Smart TV 32-inch For Sale

Luqash

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
916
Reaction score
343
Smart 3D, LED display, Full HD 1080p, ina Wi-Fi na web browser, mpya, Ex UK. Ni TV ya kisasa sana, very slim, kuna Smart Hub na Samsung apps to download, unaweza kutumia ku surf the net, facebook, twitter, skype etc.
USB connectivity, unaangalia movie, pictures na kusikiliza music kutoka katika flash disk, pia unaweza kurekodi kwenye flash, kuna sehemu ya kuchomeka card za pay TVs moja kwa moja kwenye TV bila ya kutumia dekoda (inabidi ununue adapter).
Bei yake ni Tshs 1.6m, negotiable.
Call/Text 0784 229255
 

Attachments

  • Samsung.jpg
    Samsung.jpg
    498.9 KB · Views: 216
Mkuu ingekuwa 50 inch ningeichukua ila hiyo ni ndogo kwa mahitaji yangu. Ila tv ni nzuri na utapata mteja nina uhakika.
 
Mie nina same type 40inches ina hdmi ports ila nilinunua kwa 1.2m iweje yko ndgo iwe ghali?
 
bei ipo juu mno. Labda peleka pale Samsung mlimani city, watasha wanaweza kuingia king
 
Kaka smart tv 40-inch Samsung wanauza 3m, hiyo yako 1.2m ulinunua wapi? Sio kila flat ni 'smart tv' mkuu....!!!
 
Hizo ndio bei mkuu, Kuna tofauti Sana kwenye TV. Kuna watu kila post lazima wacomment lakini hawana knowledge na wanachozungumzia. LED tv ya kawaida bila 3D, Samsung wanauza 1.1m...
 
Hizo ndio bei mkuu, Kuna tofauti Sana kwenye TV. Kuna watu kila post lazima wacomment lakini hawana knowledge na wanachozungumzia. LED tv ya kawaida bila 3D, Samsung wanauza 1.1m...

KomboJr; mazafanta ina 3D kaka
 
Back
Top Bottom