Samsung s9+ refurbished

Nyamwage

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
757
Reaction score
1,866
Habari za usiku huu wa manane

Ndugu yenu nataka nijitose kariakoo kwenda kununua simu nzuri dukani kwa ajiri ya matuzi ila zaidi iwe na uwezo wa kucheza games kubwa kubwa zenye high resolution vipi kwa hili chaguo langu samsung galaxy s9 plus refurbished budget yangu ni 450k Nahitaji ushauri wenu wa kimawazo wataalamu wa Tech kipi ni zingatie ili niweze kupata simu nzuri isiyo kuwa na matatizo au copy nk au kama unafahamu brand nyingine tofauti na hiyo kali yenye uwezo mzuri unaweza ukaniambia.
 
Kwa 450k ukiagizishia Online unapata LG G8x ama oneplus 7 kavu, zina snapdragon 855 ambayo ni much better kuliko s9, kwa Games hizo mbili zitakuwa vyema zaidi.
 
Kwa 450k ukiagizishia Online unapata LG G8x ama oneplus 7 kavu, zina snapdragon 855 ambayo ni much better kuliko s9, kwa Games hizo mbili zitakuwa vyema zaidi.
Habar yako chief, hizi s9, note 8 zinazouzwa makumbusho na kkoo zinakuwaga nzuri kweli mkuu? Naonaga pia wanatoa na warranty ya mwaka mmoja.
 
Samsung hawajuagi kuunda mabetri! Tafta litecno lililochangamka specs utafurahia hayo magemu au tafta Oppo highend
hii ni tz na famba, muulize mkuu Lusungo anaenunua mpya atakupa ushuhuda mzuri, highend nyingi za Samsung ni one of the best kwenye ukaaji chaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…