Samsung s8 & iPhone 6 + nazitafuta ninunue

Wadau, natafuta simu aina ya Samsung galaxy S8 au IPHONE 6, kwa bei ya maelewano , namba yangu 0758-204681

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushauri ingia dukani mkuu!

Kupata kesi kubwa za kimtandao kwa sasa siyo kazi tena unaweza kununua simu mkononi kumbe muuzaji jana ametoka kufanya tukio baya ukaungwa kwenye chain baada ya kukutwa na kithibiti,ingia tu dukani!


Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Ilo nalo neno mkuu, ngoja nijitafakari upya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ