Samsung s3&s4 for sale

Samsung s3&s4 for sale

yaser

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
1,361
Reaction score
299
Simu tajwa hapo juu zinauzwa. Ni mpya na zina vifaa vyake vyote. Bei ni S3-290000 wakati S 4-380000 maelewano yapo, karibuni sana. Nipigie au whatsapp napatikana dsm kwa namba 0713806766.
4cc7f82290f035311d1ee0619457c896.jpg
cd07f5cacd9aa083f106e1b45faac7d2.jpg
 
Watu walivyokamatwa na tecno, sijui kama inalipa za zamani sana
 
Watu walivyokamatwa na tecno, sijui kama inalipa za zamani sana

Katika maisha jifunze busara japo ya kuazima, hivi unadhani kama mtaani kwenu wanatumia tecno ndio watu wote wanatumia hzo?? Watu wananunua sana, hizo ni sample tu miongoni mwa nyingi zinazouzwa. By the way watu hawako sawa tambua pia hilo, wakati wewe unatumia tecno kuna wenzio wanatumia "alcatel" so acha biashara za watu ziendelee. Hakuna umuhimu wa wewe kucomment kila unachokiona.
 
Hiyo bei mtu anapata dukan acha panik na acha kusumbua watu na by the way kuna uzi wa wauza sim peleka kule pimbi wewe
 
Hiyo bei mtu anapata dukan acha panik na acha kusumbua watu na by the way kuna uzi wa wauza sim peleka kule pimbi wewe

Asante sana mimi ni pimbi, acha niendeleze upimbi wangu.
 
Katika maisha jifunze busara japo ya kuazima, hivi unadhani kama mtaani kwenu wanatumia tecno ndio watu wote wanatumia hzo?? Watu wananunua sana, hizo ni sample tu miongoni mwa nyingi zinazouzwa. By the way watu hawako sawa tambua pia hilo, wakati wewe unatumia tecno kuna wenzio wanatumia "alcatel" so acha biashara za watu ziendelee. Hakuna umuhimu wa wewe kucomment kila unachokiona.
Ndio hali halisi sasa hivi kuna s7, nilitumia s4 battery ilinisumbua sana
 
Back
Top Bottom